@one_vision_tv: Kuna muda maneno hayatoshi kuelezea kile moyo umebeba lakini matendo ya mwili yana eleza kwa kina sana ikiwemo machozi,furaha na kadhalika,kwa kajala walio wengi wana muona kama hana akili kumbe ni upendo na wengine wana tumia kama kibali kucheza na moyo wake,mpaka ana fikia kusema ni mtu asiye na furaha na kuchoka maisha haya yani amebeba mengi sana. #onevisiontv🇹🇿
nalijuwa hyo [Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy] ilayanapita
2026-09-14 09:06:26
0
Lilian Mwenda :
pole mway
2026-09-13 18:02:54
0
Binti Ahmad ♥️ :
me namuelewa kajala anayopitia coz ndio ninayopitia 😔
2026-09-12 07:09:13
33
@Allan Morgan.🔥 :
😭😭 worry less
2026-09-13 16:59:39
0
Regina :
Pole sana Yesu akuponye
2026-09-14 19:25:45
0
Ms Sue💞 :
Me namuelewa kajala anayopitia but Mungu akawe chanzo cha furaha yako na ukijisamehe na kusamehe past zako….utapona kabisa
2026-09-12 13:34:54
7
Last born🥰💋 :
Mungu amfanyie wepes
naelewa daaah🥲🥲🥲
2026-09-12 10:14:34
12
Aaayan Omary :
mi mwenywe simwelewi analia nini
2026-09-12 14:10:54
0
msss chiii :
mimi namuerew san
2026-09-12 11:19:59
3
Latifa Richard :
kama haujawai pitia haya hauwezi kumuelewa Kajala 😭 hiyo hali mm nimepitia mpaka nilitaka kujiua lakini nilipogeuza shingo nikawaona watoto wangu basi nikaacha 😭 Ndipo nilipoamua kuupa moyo nafasi ya kuanza upya lakini si rahisi 😭😭
daaahh!! i wish could be my momy so that ningempa moyo jamni ila paula jitahid kumpa mama yako moyo jamni nip na hudhuni
2026-09-12 10:15:10
2
Naah :
Mi namuelewa sana coz ndo ninachopitia na mm
2026-09-12 11:07:19
3
Aggie Nick :
anavhopitia kajala ndo ninachopitia mm kwa xaxa so namuelewa xanaaa kajalaa na mungu amtie NGUVU xanaa
2026-09-12 20:00:45
1
Tinasha Drama :
mi natamani akae pekeake aamue mwenyewe anataka nn labda mnaweza muelewa lakin kwahivi ty mtamchanganya jamani 🥺🥺
2026-09-12 10:39:40
1
ashanamangaya :
yaarab tunakuomba kwa rehma zako na baraka zako umpe moyo wa iman,subra,hakma yakimaamuz hakika ww hujawai kumuacha mja wako ateseke bas tunakuomba mtie nguvu sana dadaeetu kajala ishaallah
2026-09-12 11:21:56
1
betty :
nimeachwa nina miaka 50 watoto I na wala cjali na asipokuwa makini ataparalaize
2026-09-12 10:45:42
1
lindah m'bena :
uki okoka na kumtumikia mungu naku hakikishia utapata mume unae mtaka na ata kupenda kweli,
2026-09-12 09:29:19
1
herry :
mi na miaka 29 uko tayri nikuowe kajala? Niko tayar kufidia maumifu yako kipenzi Sito kumiza kamwe mungu shaid thank🙏
2026-09-12 19:51:02
1
irene :
yesu kristo peke yake ndio mwanaume mwaminifu kwako mtafute kaika roho na kweli atakuvusha ktk Kila hali na jambo lolote ulionalo huwezi ni Mwanaume aletae fulaha yakweli mruhusu akae yeye tu kwenye moyo wako kajala utathimulia ajabu zake ni hakika na kweli
2026-09-15 06:34:19
0
Maggie :
mwenzenu anaumw halilii mapenz
2026-09-14 20:26:10
0
Merry Zakayo :
me naangalia tu nali sijajua mwanae maumivu anayopiti eh mungu wabarik
2026-09-14 19:59:30
0
Lihna Adrian :
pole mwaya tupo wengi
2026-09-14 20:38:05
0
To see more videos from user @one_vision_tv, please go to the Tikwm
homepage.