@veriafya: Akizungumza kwenye kipindi cha Medicounter cha UTV ya Azam Media, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto, Faraja kambona kutoka Hospitali ya Epiphany, Mbagala, amesema Dawa nyingi za Kikohozi huwa na Viambata vinavyodidimiza Usafirishwaji wa taarifa za Mfumo wa Fahamu kwenye Ubongo hivyo kuathiri Upumuaji wa Watoto, na mara nyingi zikishindwa kutibu Chanzo halisi cha Kikohozi na ndiyo maana Madaktari wengi huwa hawashauri Matumizi yake Kitaalamu, Dawa hizi inashauriwa zitumike zaidi kwa Watoto wenye Umri kuanzia Miaka 6 na kuendelea na ameshauri pia Matumizi ya Asali, Tangawizi na Maji ya Uvugu vugu kwa Watoto wenye Umri kuanzia Miaka 2 yanaweza kuwa na Msaada mkubwa.
sasa doctor ndiyo utuambie jinsi yakuwatibu hwa watoto naiyo dawa ya kuuwa tatizo la kukohoa ambayo hayo maambukizi.mana misihaona ulichokielezea kama kuna wengine watakuelewa.elekeza jinsi ya tiba hiyo