@reybellah_10: Kijana Hassan Khamis Rashid (22) ambae ni Dereva wa bodaboda na mkazi wa Beitrasi, amekumbana na Tukio la kuvamiwa na watu waliodaiwa kuwa wezi wa bodaboda katika eneo la Kizimbani, Wilaya ya Magharibi A, Unguja. Kijana Hassan, aliyekuwa akimpeleka abiria kuelekea Kiboje, alivamiwa baada ya abiria huyo kuwasiliana na watu wengine watatu, ambapo alijeruhiwa Vibaya maeneo ya shingoni kwa kitu chenye ncha kali. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi limewakamata watuhumiwa watatu wanaodaiwa kuhusika na tukio hilo. #reybellah #fypシ #fyp #trending #viralvideo

Reybellah
Reybellah
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 12 September 2026 10:12:33 GMT
12285
638
10
18

Music

Download

Comments

mamy12116
mamy :
umeolew
2026-09-13 01:56:39
0
nacy27.og
niè răn OG :
Bismillah Maashaallah
2026-09-13 12:17:41
0
pachapacha223
Pacha Pacha :
hujmb
2026-09-12 18:27:40
0
iddisaid5
RAUM🌺SAID.....🫀🩺💔💉 :
mtihan wa allah
2026-09-13 18:01:33
0
noba.t.z3
Noba T.z :
Alafu msiwe mankusema kwa watu vibaya nyue hakuna sehemu inokosa mamb. ya aajabu!
2026-09-13 17:59:49
0
wahida.muhsin.hus
muhsin wahida hussein :
kiboje SI sehemu ya kwenda
2026-09-12 11:39:36
1
salish_jb
salish_jb :
[Embarrassed]
2026-09-12 10:30:01
0
mwana575
mwana575 :
😊
2026-09-12 10:20:03
0
hassansuleiman828
MAMBO SIRI :
😁😁😁
2026-09-12 18:33:39
0
To see more videos from user @reybellah_10, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About