@mshaitinatz: Replying to @Dianta Vibe 🔥 BOSS YA MBOKA AMEKASIRIKA! CHUKUA MAELEKEZO… 😤🔥 Boss ya mboka TAITA!!! anaweka wazi kwanini ameendelea kuwekeza BIG TIME ndani ya Bukoba, ikiwemo kuwaleta wasanii wakubwa na kuendelea kuiweka Bukoba kwenye ramani ya burudani. 🎶🔥 Pia ametoa shukrani na pongezi za kipekee kwa Mhe. Innocent Bashungwa kwa mchango wake katika kufanikisha ujio wa Harmonize mjini Bukoba. 🙌🏾🔥 Na sasa ni zamu ya THE NIGHT MAN! Harmonize 🔥🔥 📍 RIO DE JANEIRO BUKOBA 📅 LEO JUMAMOSI 🎟️ Kawaida: 30,000/= 👑 VIP: 50,000/= BUKOBA, CHUKUA MAELEKEZO… USIKOSE! 🔥🔥🔥 #bukoba #foryou #fyp #fypシ #viralvideo