mh wazir kilichonishangaza ni kuwa baada yahizi kuna nyengine
2026-09-12 18:26:06
0
Aithar Khamis :
CCM WAKISHAKAA BARAZA LA WAWAKILISHI WANAJIAMULIA MAMBO TU NA KULA PESA NA KODI ZA WANANCHI
2026-09-12 16:24:08
0
Zahor Mohammed :
hivi wewe waziri huyo mzabuni ingekua umempa kazi ya kukujengea nyumba yako kisha akawa anachelewesha kazi namna hii ungetoa majibu mepesi kama hayo? punguzeni dharau kwenye mambo ya muhimu
2026-09-12 17:50:14
0
Abdul-Malik :
Haja ya nini mbona haujachambua haja gani au yakupiga pesa mnatukwaza nyny mkishakuwa huko mnatuona mnatumudu sana
2026-09-12 17:23:14
0
Khatibu Rashid :
wizi tu hamna lolote
2026-09-12 16:17:37
0
gyönyörű zanzibári túrák :
Usitusemee kua tulikua na uhitaji labda weye ndo ulikua na uhitaji wazir
2026-09-12 16:04:14
0
Hafidh :
Kiukwel hatuko razi na hii zulma zenu
2026-09-12 18:18:37
0
To see more videos from user @chambani_yetu, please go to the Tikwm
homepage.