@mshauri.serikali: Niisihi Serikali, Ipitie Sheria zetu upande wa Makosa & Hukumu zake kupitia Taasisi yetu ya Mawakili (TLS) irekebishe baadhi ya Sheria za Zamani ambazo zinaonekana kuonea Raia wetu au Sheria Andamizi. #MshauriSerikali #TikTokTanzania🇹🇿 #SamiaSuluhuHassan #KenyanTiktok🇰🇪 #SheriaTanzania

Mshauri Serikali 🇹🇿
Mshauri Serikali 🇹🇿
Open In TikTok:
Region: US
Saturday 12 September 2026 14:26:32 GMT
10279
533
53
21

Music

Download

Comments

zugu.zugu8
(𝕸𝖟𝖚𝖓𝖌𝖚)𝕊ℍ𝕆𝔼𝕊.👟 :
uhakika true bro
2026-09-13 05:05:09
0
idevaone
Ideva One :
Kaka apo uliko Upo maskanii [Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]tuteteee wenzio[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-13 04:28:24
0
user3335240821531
Bro nkwabi :
Points
2026-09-13 04:38:49
0
officiallyhaidari
officiallyhaidari :
You think beyond👊👊👊
2026-09-13 04:29:16
0
boxboxburg
Daddy :
Give thanks my King
2026-09-12 21:25:05
1
ndg_brawn
Ndg Brawn :
uko sahihi Mangi
2026-09-12 14:45:06
7
eric.pius.msekwa
Eric Msekwa :
Umeongea points za muhimu sana, wakoloni walituaminisha kwamba bangi ni mbaya ili biashara ya sigara isife
2026-09-12 20:11:23
9
jaafar.abdillah22
Impossible :
Ushauli mzuri inabidi wapitie upya vishikizo vya sheria
2026-09-12 20:23:23
3
user8528000913801
user8528000913801 :
kwery kabisa ase
2026-09-13 04:46:05
1
king_reuben
@Reuben_sayi :
point
2026-09-13 05:15:07
0
ottmalmsigwa
Humble man :
fact
2026-09-12 21:49:33
1
joblondon.loondon
Joblondon Loondon :
Slt sana KK umeongea pwent,,
2026-09-13 05:22:25
0
dreadlocks_toangoma76
perfect-hair-design salon :
facts
2026-09-12 22:10:55
1
user4579372194097
ricch mapoy :
kweli kabisa
2026-09-13 05:26:12
0
mohamedimnyika493
mohamedi mnyika :
😳😳 baaaas makosa😂😂 ni kweli haina madhara youyt
2026-09-13 01:21:42
1
peterwapera
PETER :
hata kama ni sheria lakini polisi,au viongozi, hawapaswi kufurahia raia kwenda jela hovyo, lazima tuwe na adhabu kulingana na ukubwa wa makosa pia adhabu kulingana na mtu amefanya hilo kosa mara ngapi, umeongea point kubwa sana nakubali hilo, hata hio point ya nida ni jambo la kupewa uzito sana
2026-09-13 03:13:08
1
santakwazi
santakwazi :
serikali ya kipuuzi sana .
2026-09-12 14:57:27
3
kinglion34_1
kinglion :
Year ni ushaur mzur sana ila tusubir kwanza maana tumefiwa
2026-09-13 05:18:08
0
shamilachipyangu
shamilachipyangu :
d sawa kak
2026-09-12 19:10:03
1
diamon4438
diamon :
og
2026-09-13 04:40:43
0
mathiasmbiyu
Mathias Mbiyu :
kweli kabisaaa
2026-09-13 05:27:21
0
bezalelark
Bezalel Ark :
naiba bilioni 50 serikalini, 😂😂 serikali inaita tuongee niwarudishie milioni 100
2026-09-13 05:06:25
0
kidanux
kida nux :
kabisa
2026-09-13 05:03:42
0
gokumastory
goku.Mastory :
2026-09-13 05:05:29
0
babumihambo
Mihambo Jr@ :
kuna jamaa anaitwa Yohana mkonya amefungwa miaka 90 jela kwa kosa la kukutwa na mbegu za bangi na pombe ya moshi(gongo) ye anamiaka 54😭🥲😭👆 inauma sana.
2026-09-13 05:20:27
0
To see more videos from user @mshauri.serikali, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About