@mrshadracktz: #creatorsearchinsights #creatorserachinsights MR MAPANGA: “Kama kila goli timu inaongezewa thamani na kupewa milioni 5, basi hizo fedha bora zingepelekwa kwenye maeneo mengine yenye uhitaji. Wachezaji wenyewe tayari wanalipwa.” Je, unaunga mkono mtazamo wa Mr Mapanga kuhusu namna fedha zinavyotumika kwenye mpira wa Tanzania? #babahapumziki #MpiraTanzania #MrMapanga
😅 🤣🤣🤣 Mzee unaakili sana Yani bora ww ndo ungekuwa rais kuliko😊
2026-09-12 16:16:41
38
mannigah :
huwezi kumaliza shida za watu Tanzania mzima kwan pesa ngapi zinatolewa na bado watu wanashida. kile kinachofanyika ni hamasa tu kwaajili ya kuhamasisha vilabu vinavoenda kimataifa. Alafu mpira na siasa ni vitu viwili tofauti na ndo maana mpira unajiendesha wenyewe kwan una raisi wake kila kitu unajitegemea.. kwaiy sio kila jambo tunatakiwa kupinga muhimu ni kupinga kisichokuwa na manufaa na taifa na kuunga mkono jambo lenye umuhim
2026-09-12 17:31:00
4
JPM :
jamaa ana akili sana
2026-09-12 22:44:56
14
mohamed :
nikwer
2026-09-13 04:53:24
0
alvin deus :
acheni uchochezi
2026-09-12 16:46:34
2
Ally Mdemu :
jamaa Lina point[Tears of joy]
2026-09-12 16:34:16
4
kemilembe :
Kuna maswali msimuulize huyu kaka jamani
2026-09-13 03:01:36
2
Mahenge Jeremia :
daaa toka nianze kumfuatilia huyu jamaa anaongea pointi sana
2026-09-12 15:38:55
17
Henrico Twinzi :
big brain
2026-09-12 18:39:00
1
Baraka Frenk155 :
mwarabu fighter
2026-09-12 17:15:59
2
TITO🥁🪘 :
ndio maana Kuna wizara ya michezo
na wizara zingine
Kila wizara na bajet zake bana
2026-09-12 16:25:32
5
Willy asha :
kwani Tanzania kuzaa unalipa?? enyewe Kenya tuko far
2026-09-13 04:21:20
0
bizo emz :
una hakili sana boy
2026-09-13 04:45:22
0
bonnylove519 :
nikaweke status ila mmh😂😂😂😂
2026-09-13 04:17:35
0
Ndex :
kaongea point kk maana daah wanawake kuzaa ni gharama sana kaka
2026-09-12 15:39:10
7
Andrew Patrick family :
daah napenda sana mimi😆😆😆
2026-09-12 21:19:43
3
Mussa_kigomba :
aseeeh 🥺
2026-09-12 16:21:04
4
juma jux :
daaaaa?
2026-09-12 18:32:40
2
dudu baya :
true
2026-09-12 21:33:38
1
John Z :
uko sahihi 100% lakini hizo pesa sio za Samia ni za wananchi wanaolipa Kodi
2026-09-12 18:33:18
4
Marianus Kakoko :
Duh!!!! jamaa kaongea fact sana!!!
2026-09-12 18:39:29
2
mfunzabeimwitula :
Mzee unaakili sanaa
2026-09-12 17:19:04
2
Peter Jackson Yotham :
Mawazo mazuri yapo huku jamani. Hii ni elimu ya bure
2026-09-12 21:22:48
2
Maweso Finest :
2026-09-12 16:46:59
2
To see more videos from user @mrshadracktz, please go to the Tikwm
homepage.