Barabara ya kutoka ukelewe kupitia Bunda mpaka Nyamswa zaidi ya km100 ilijengwa haraka ikaisha ila kutoka mgeta mpaka Mugumu km90+ ina zaidi ya miaka 9 hakieleweki kitu,
sasa kuna ile ya kutoka makutano mpaka Mugumu kupitia Kiagata ni ugonjwa wa Taifa miaka 10+ hakuna hata 50km za rami, Tarime kwenda Mugumu kupitia Nyamongo Km90+ nayo ni wimbo wa taifa Serengeti wanajuwa wenyewe makosa yako wapi.
2026-09-13 06:02:58
2
Notorious :
hio barabara toka 2018 ipo hivo walichofanya ni kupunguza vifusi kuanzia nyamswa hadi isenye-Nata, NB Mbunge wa Serengeti Sio waziri, Waziri unaemzungumzia hapo ni wa kuteuliwa tu kwenye viti 10 vya Rais (Mh Nyansaho)
2026-09-12 18:13:33
5
don :
tunashukuru sana kutusemea
2026-09-13 07:53:26
2
Wambura Nelson :
@Wambura Nelson:Kwa sasa Mkoa wa Mara hakuna wabunge, labda kwa sasabu hawajatokana na kura za wananchi ndiyo sababu wanadharau wananchi. Ni aibu kubwa sana! Halafu wapo tu wanakula posho bungeni wanajisikia vizuri tu!
2026-09-13 01:10:27
3
user2708444048878 :
mwambie waziri
au DC, au DED
NDIO MWENYE BAGETI SIO MBUNGE
2026-09-13 10:34:41
1
Black Sunday ⚫️ :
kaka leoo umeongea jambo linalo nitesa miaka
2026-09-13 05:01:55
2
Baraka furniture :
kazi yao ni taarifa taarifa mweshimiwa
2026-09-13 08:21:37
1
Evlisaa💥 :
Mwache Mbunge wetu yupo bize kuzindua jezi za michezo 🤣🤣🤣
2026-09-12 19:25:00
3
hasheem rajab :
ina muda mrefu sana mpaka madaraja hayajamaliziwa nilipita last week huko
2026-09-12 20:00:37
2
mwita francis :
professor awamu ijayo ebu njoo uchukue fomu ya ubunge utusaidie Hilo jimbo
2026-09-13 02:58:15
2
gitaroche :
mitano tena -
2026-09-12 20:02:36
1
JAY'S "#42" :
mkuuu 🙏
2026-09-12 20:31:40
1
Mataso james :
nyumbani huko
2026-09-12 22:42:41
1
user7527343813992 :
Bro kuna hii pia ya Kutoka Musoma Kwenda Mugumu kupitia Kragata mzee miaka kumi zaid mladi umesimama na ni Barabal muhimu sana inaunganisha Wilaya na mkoa kwa uharaka zaid ila waliweka lami kilometa 3 tu kutoka makutana ya Zilo Zilo 😮💨😮💨😮💨😮💨
2026-09-12 20:26:00
1
Zpark boe :
Yaaan Ukweli brow steel long time mpaka leoo hii barabara imetelekezwa na istoshe tuna viongoz how Ocyt come
2026-09-12 22:10:30
1
Danny cutting mwanza :
bola utusemee
2026-09-12 22:57:57
2
Simon mushi :
mitano tena
2026-09-12 17:36:02
1
Baba Clotilda ♥️ Chief :
siyo salama kati kuanzia kat ya salama A na Sanzati
2026-09-13 04:09:57
1
diana ndale :
Toka niko la 7 elf 2011 ad leo 2026 aijawah malizika sasa mvua zikinyesha aipitiki jmn ndo kwetu uko nachoka mm jmn
2026-09-12 23:06:26
1
Andrew :
Yaaaan Acha tu Kuna Ile ya kutoka TARIME MJINI HADI NYAMWAGA HADI SERENGETI TANGU ENZI BARABARA HAIELEWEKI😥😥😥
2026-09-12 19:46:01
1
YMB ELECTRICAL :
kabsa
2026-09-12 19:34:09
1
Baba D :
bro wakumbushe
2026-09-12 18:51:19
1
To see more videos from user @grandprofessor4, please go to the Tikwm
homepage.