@frederic_actus: KILA kitu kwetu WA kristo MSINGI wake ni neno La Mungu hakuna tunacho ki Fanya kwa tamaa ZETU , TOFAUTI na kule ambapo ndugu ZETU WAISILAMU WANA tembeya na SHERIA za MTUME Mudi #bibilia #majini #aurani

Frédéric Amani Actus
Frédéric Amani Actus
Open In TikTok:
Region: CG
Saturday 12 September 2026 20:01:19 GMT
37244
2273
146
46

Music

Download

Comments

ludovick.harson
Ludovick harson :
Natafuta comment ya takbiir sioni
2026-09-13 03:35:12
26
johnellyuko
@eliyuko_john :
God bless you
2026-09-13 11:23:39
0
askalove5
upendo 🥰🥰 :
tumsifu Yesu kristo
2026-09-13 05:15:49
54
katarina2974
katarina :
Tumsifu Yesu Kristoooooo
2026-09-13 07:08:35
0
mo.blessed3
mo :
I like your teachings despite being a christian it makes alot of sence
2026-09-13 08:40:41
4
kevvoondege
Kevvoo Ndege :
Somo la sadaka tulifundishwa wakati tukiwa watoto
2026-09-13 09:13:41
4
ahmeddeus
Ahmed Deus :
milele amina shekh . kijana mjasiri ❤️💙🔥 Mungu akulinde
2026-09-13 05:56:24
14
omicronboss
Omicron :
Huyu mwishowe atakuwa wetu ❤️❤️🔥🔥.
2026-09-13 06:30:54
20
kitambulio53
kitambulio :
uyu ni mkristo
2026-09-12 21:47:08
7
hommiesavage166
Hommiesavage166 :
fact💯
2026-09-13 09:38:58
3
marllah06
magrethherin :
basi watamchukia shekhe
2026-09-13 05:09:58
14
brianmaterialaman
never cry and never give up :
ndoa Kwa wahikresto ni Moja ya sakramenti kubwa
2026-09-13 09:38:27
4
rosemarykaswahili
Rosemary Kaswahili :
fact sana
2026-09-13 09:49:09
3
user4661020358452
shasimo❤️ :
sasa umeona hayo tuu mbona wao wanazini hata miaka10 bila ndoa na husemi hata hivyo kama unakaa kwenye ndoa huna amani hiyo ndoa ni ya nn sasa ndio maana kwetu kuna talaka mume anaweza toa talaka na mwanamke anaweza omba talaka alhamdulilah hatujaja kuteseka hapa dunian ndoa nzuri yenye aman bwana weee siwez vumilia vipigo mm ety kisa talaka never 📌📌
2026-09-13 04:51:51
1
neonstill1
calmvault :
hata katika hili la uhalisia utashambuliwa sana shekhe
2026-09-13 04:55:19
3
kaisamwalyosi
Kaisa :
mmmmh kwer kk Mungu hakubariki
2026-09-13 02:42:29
4
rizzybaby12
Rizzy B💖 :
ndoa sio mkataba ni agano
2026-09-13 08:06:53
3
private.education
private education :
ivi Kwa Nini kwenye nguzo Tano za uhisilam.akuna Sheria ya kuoa na kuolewa.na ktk amri kumi za mungu kikrisro.akuna amri ya kuoa na kuolewa?
2026-09-13 08:16:34
0
ronaldmwandambo
THE CHOOSEN :
SHEHE UMEONGEA KWELI SHEHE MUNGU AKUBARIKI KWA KUWA MKWELI
2026-09-12 21:14:35
8
user3777295265572
Babe girl :
hakika
2026-09-12 22:14:23
3
alicembena231
By killer 32 :
Asante sana ubarikiwe Kwa kweli
2026-09-13 03:51:10
4
igimbizakaria0
barakaellymungoe :
utafika mbal sn kijana
2026-09-13 03:51:45
2
user460133571374
Injinia :
nakuelewa san shekh wangu uko vzr
2026-09-13 11:16:15
0
agnesndyalimo
less :
Wew ni mshabiki wangu siku zote.
2026-09-13 11:01:11
0
s.s.bravo7
S.s.bravo :
upo vizuli
2026-09-13 11:00:23
0
To see more videos from user @frederic_actus, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About