@jvckieseven: mwaka 2012 suma mnareti alikuja na huu wimbo wake wa chukua time uliokua hit sana mtaani kisha kutokomea kusikojulikana, mpaka pale alipokuja kuibuka kama mchambuzi wa muziki kupitia podcast yake ya msema kweli. huu wimbo ulimpa jina sana suma mnazareti akiwa chini ya label ya mtanashati iliyokua inamilikiwa na Ostadh juma na musoma 🔥🔥🔥
JvckieSeven
Region: TZ
Saturday 12 September 2026 20:35:46 GMT
Music
Download
Comments
Addy_Adams :
Huyu jamaa alibahatisha ngoma moja tu
2026-09-12 21:04:08
9
TJ 🍫😍 :
Haichuji hii😁😁
2026-09-14 17:45:54
2
Adam athuman :
duuh[Red heart]
2026-09-14 06:15:58
1
KIM ANGEL :
yan hiz nyimbo huwaga kunanamna zinanigusa wazimu
2026-09-15 08:00:56
8
platini1996 :
ngoja nimalizie na iyi Musoma😎
2026-09-13 09:54:45
3
Supreme Crypto :
2012 namaliza darasa la saba nipo nasoma pre form one na computer nilisumbua sana
2026-09-14 16:27:06
3
A.Moo :
unyama sana
2026-09-13 15:28:06
1
bakari vunge :
hii suma alipiga sana
2026-09-18 06:10:32
1
Innocent Boe Tz :
kuna ngoma ukizisikiliza zinakupeleka mbali mno kimawazo
2026-09-15 14:54:04
5
PeterM :
hii genZ walikuwepo😅😅
2026-09-13 16:01:10
1
Abdallah :
hii nyimbo aliimbiwa nani kwani
2026-09-14 15:22:03
0
Raheem HamzaTz :
mm nlimjua Suma Kwa nyimbo hyo t ila credit Kwa ommy 🔥
2026-09-12 22:58:20
3
Eng_nestory sanga :
ndo nasepe hivo
2026-09-14 05:34:14
2
Chamadoki :
aiseeee dah
2026-09-17 09:56:31
1
hayase hb :
right now chawa😁😁
2026-09-15 06:19:44
0
Hayumo brand :
andk vizur
2026-09-14 19:52:43
0
Binrashid :
2026-09-15 09:09:27
0
Mrs ❤️kily 💥og :
Duu umefanya paka nimkumbe mpenzi wangu wakwanza alikua ana upenda sana huu mimbo
2026-09-15 19:08:18
1
Hikups Kikons :
form V
2026-09-17 07:16:03
0
MOM B :
nilikua zangu form 2
2026-09-15 00:03:00
0
Jacky🦋🦋 :
2026-09-16 09:52:20
1
user9621953487747 :
zingatia neno,,kisha kutokomea kusiko julikana😂
2026-09-13 18:49:52
1
ABEL THE SENETOR :
hiki kipindi style ya kunyoa iliyokuwa kali ni kiduku😂
2026-09-13 04:39:19
4
kerewe boy :
Hao madada waliokuw wamemsbr mwenzeo nje ya nyumb mpk wakapitiw usngz..pongez kwao ni wachache sana ktk hii dunia
2026-09-14 13:59:00
1
Omah🍀smart💦 :
mpaka unajiuliza kwanini kawa chawa haiji 😂😂😂😂
2026-09-18 19:37:55
0
To see more videos from user @jvckieseven, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.