Jamana mnatukumbusha mbali sana mnatutoa machoz😭 daah Tumepotez vipenzi vyetu wengi Allah awape kauli thabiti Aamen 🤲 utataman urudi ten utoton daah😪😮💨
2026-09-13 17:33:28
35
Bwam muu :
Mashallah ALLAH Bless you waimbaj wetu tulikuwa tuipnd 🥰sn wallah enz tuko watoto wa 90 uko ila ZNZ ni 1 tu dunia nzm Mashallah ZNZ 💪 1
2026-09-13 06:52:19
4
khamso Yussuf :
🥰🥰🥰old emotional
2026-09-13 07:41:25
0
malikha- heena artist :
unatukumbusha[Teary eyed]mbali, daah
kipindi uchi lazma niende kwa babu angu skukuuu asubuh🥹Allah marehemu babu na bibi angu kipenz🥹
2026-09-13 09:15:27
4
user3851232923045 :
sio hiyo ww ilikua ..arraya eidl fitri
2026-09-13 13:00:51
0
OMARI KHAMISI :
nazikumbuka sana. kipindi hicho Darajani au jua kali !!
2026-09-13 17:31:43
1
user8817826952547njur0 :
next
2026-09-13 08:44:29
0
hussenpambakali :
Na isipo pigwa hiyo bc mm nilikuwa naona km sio skukuu wala nn lkn nikiskia kasida izo mbili au tatu bc mm roho radhi mungu amlaze mahali pema baba angu kipenzi
2026-09-13 12:15:51
3
Sheikhan seifllah :
masha allah
2026-09-13 06:55:52
0
user9289448118838 :
mpaka kesho ikija skukuu lazima nizibue kasda hizi😄
2026-09-13 08:32:05
0
Abuu 777 B$ 🤙 :
Sio Zanzibar tu hata Kondoa pia 🥰🩵
2026-09-13 14:48:05
4
Salama Khamis :
Maisha yetu yalikuwa yakinyonge sana lkn tulikuwa tukiskia ivi vikasida mioyo inakuwa na furaha sana
2026-09-13 20:12:48
3
Abuhanifa Mussa :
Jmn mnanikumbusha kipindi nikozangu madrasa Asubuh tukiwa tunaenda kusoma kwasheikhe Asubuh naweka iyo qaswida jmn😭😭😭😭 nalia kwajili yafurah😭😭😭
2026-09-14 05:00:49
1
hasmina :
na ilikuwa raha
2026-09-13 17:24:50
2
SIDE BOY :
Dah zamani sana mungu awarehem vipenzi vyetu hadi chozi linanitoka miaka imekwenda sana utoto raha sana
2026-09-14 04:23:08
1
nadhifa :
natamani laiti Mungu angeturudisha miaka 18 nyuma 🥲🥲 maisha yalikua mazuri sana wengi wetu tulikua na hofu ya Mungu vipenzi wetu wametutoka wengi sana 💔
2026-09-14 05:08:33
1
Mr. Ramadhan💪🏋️♀️💪 :
Namkumbuka sana potii head master wangu Tasnim muslim sec school alikua akiea anafanya kazi zake za nyumban anaweka hizi wasida daaah Allah ampe umri mrefu
2026-09-13 21:01:16
1
sophy zungu :
Alhamdulillah miaka imeenda allah atupe mwisho mwema. Hizi ndio eid tulozifaidi wallah
2026-09-13 15:06:37
1
IbbuTZ :
Zanzibar.... dah 😢😢😢😢
2026-09-15 11:59:51
0
Feisal Miraji :
Aisee
2026-09-14 21:51:21
0
omary . M . masoud :
mbona kama tunakumbushana vizuri miaka iyo nasubir kuvaa nguo mpya nakumbuka sana tena yaani wee acha tu asante kwaku nikumbusha sanasanatena sana
2026-09-14 17:30:54
0
REMY CABELLA :
Kuna Ile ya Eid El Fitri
2026-09-14 16:32:56
0
To see more videos from user @mr_kitukuu_cha_zanzibar, please go to the Tikwm
homepage.