@fadhilomarydai69: HATUJAMHUKUMU MTU TUMETOA UKUMBUSHO ๐—ง๐—”๐—ก๐—•๐—œ๐—›๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ก๐—”๐—ฆ๐—”๐—›๐—” Kuandika aya za Qurโ€™ani kwenye sehemu ya ngazi ambayo watu wanapita na kukanyaga maandishi hayo ni jambo lisiloruhusiwa, kwa sababu ndani yake kuna dharau na kutoheshimu maneno ya Allah Allah Mtukufu amesema: ุฐูŽูฐู„ููƒูŽ ูˆูŽู…ูŽู† ูŠูุนูŽุธู‘ูู…ู’ ุดูŽุนูŽุงุฆูุฑูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ู ููŽุฅูู†ู‘ูŽู‡ูŽุง ู…ูู† ุชูŽู‚ู’ูˆูŽู‰ ุงู„ู’ู‚ูู„ููˆุจู โ€œHivyo ndivyo ilivyo; na anayezitukuza alama za Allah, basi hakika hilo ni katika uchamungu wa nyoyo.โ€ (Al-Hajj 22:32) Sheikh Ibn Bฤz ุฑุญู…ู‡ ุงู„ู„ู‡ Ibn Bฤz amesema: ยซูุฌู…ูŠุน ู…ุง ูŠุนุฑุถ ุฐูƒุฑ ุงู„ู„ู‡ุŒ ุฃูˆ ุงู„ุขูŠุงุช ุฅู„ู‰ ุงู„ุงู…ุชู‡ุงู† ูˆุงู„ุฑู…ูŠ ููŠ ุงู„ู‚ู…ุงู…ุงุชุŒ ุฃูˆ ููŠ ุงู„ุฃุฑุถุŒ ุฃูˆ ู…ุง ุฃุดุจู‡ ุฐู„ูƒ ูƒู„ ุฐู„ูƒ ู„ุง ูŠุฌูˆุฒุŒ ุจู„ ูŠุฌุจ ุฃู† ูŠุตุงู† ูƒู„ุงู… ุงู„ู„ู‡ ูˆุฃุณู…ุงุคู‡ ุณุจุญุงู†ู‡ ุนู† ูƒู„ ู…ุง ู‡ูˆ ุฐุฑูŠุนุฉ ู„ู„ุงู…ุชู‡ุงู† ูˆูˆุณูŠู„ุฉ ู„ู„ุงู…ุชู‡ุงู†.ยป โ€œKila jambo linaloweka katika hatari ya kufanyiwa dharau Dhikri ya Allah au aya za Qurโ€™ani, kama kutupwa kwenye takataka au ardhini, na mambo yanayofanana na hayo, yote hayo hayaruhusiwi. Bali ni wajibu kulinda Maneno ya Allah na Majina Yake dhidi ya kila kitu kinachoweza kuwa njia ya kuyadhalilisha.โ€ Tunawanasihi waislamu mnapotaka kufanya jambo lolote lenye sura ya dini mjitahidi kuwasiliana na mashekh wawapeni miongozo, sio mnakurupuka mnafanya jambo ninyi mwadhan mwaona mwafanya jambo zuri la kupendeza n.k kumbe mwakosea Lakin pia ninyi mashekh mnaoalikwa kwenye mashughuli kama hayo mkiona munkari wowote ukemeen na muuseme, sabab mkikaa kimya wao wataona kua jambo walilofanya ni sahihi. Qurโ€™ani inapaswa kulindwa kuheshimiwa na kuthaminiwa maana ni maneno ya ALLAH na nimuongozo kwa Walimwengu, haijaja ili iwekwe kama mapambo. Wallahu aalam Wenu Naupenda Uislam

FADHIL Omary Dai
FADHIL Omary Dai
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 13 September 2026 05:40:37 GMT
435215
68357
3772
1415

Music

Download

Comments

adidja137
Khadija ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ•Œโ˜ช๏ธ :
Mtamsema vibaya Ila ameongeya kweli๐Ÿฅบ
2026-09-13 12:26:16
1288
rey08735tiktok
Rehmy.GPG ๐Ÿ’›๐Ÿ’ซ๐Ÿ™๐Ÿ˜Ž :
mungu ndo anahukumu shekhe
2026-09-13 06:30:17
1177
user47998861634123456789
mbappe 10 :
tulio muelew kak fadhili gonga like
2026-09-13 07:23:25
2951
raniah3264
๐Ÿฅ€raniah๐Ÿฆ‹๐Ÿ’ :
Ukweli mchungu ila tumeongea ukweli San Allah akujaalie mwisho ulio mwema
2026-09-13 06:20:58
1173
happysilayo7
Michael daton :
Tumswalie mtume muhammad S.A.W
2026-09-14 12:56:17
45
nasrakarimu05
Nagy @nagy :
Anayesema ameongea point gonga like hapa๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œ
2026-09-13 11:56:49
1142
user9115817251569
hamisi jaha :
mashekhe wetu kuna mud wanazingua kwel
2026-09-13 06:24:29
524
user6038567134955
Alawi Alaw :
Waislamu Taqbiriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
2026-09-13 13:55:55
156
juma.afande
JAY SMATY BRAND :
kaka unaongea haki kabisa allah atujaalie mwisho mwema
2026-09-13 06:11:45
773
thax_pro
ThaX_pro.๐Ÿ’ :
daah umeongea fact bro.shida pesa inafunga midomo ya watu.
2026-09-13 07:55:34
261
zaramiskie7
zaramiskie :
kaka umesema ukweli ila Allah atujalie mwisho mwema
2026-09-13 07:44:05
146
brainkiller240
ร‡hizan แบžrain :
Allah will judge them, insha Allah.
2026-09-14 07:42:25
2
kassimjuma16
Qsmโœจ :
fact brother utafika ujumbe inshallah ๐Ÿ™
2026-09-14 14:35:34
0
saumu.rashidi71
SAUMU RASHIDI :
Allah atunusuru
2026-09-14 12:10:07
0
user205047468
kada ramadhani :
muache mungu atahukum mwenyewe halafu Kuna muda mwingine unautafuta umaruufu sisi mbona tumeona natumekaa kimya
2026-09-13 10:12:55
24
halimahussein3706
halima Bella โฃ๏ธ :
ameniudhiiiiiiii alivyochekacheka Tu ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
2026-09-14 15:08:44
0
mohamedkidebe
Mohamed Kidebe :
Allah atawajibu
2026-09-14 12:29:10
0
purple_real1
purple_real og๐Ÿ’œ :
saw ila mungu ndy muhukum n siyo binadam
2026-09-13 15:04:24
6
chiya074620
WABAYA SI WOTE :
jamani Hawa waimba Muzik kama wameamua kuimba waimbe tuu wasichanganye Mambo
2026-09-13 21:05:26
5
zuhuraabdi7
Ahzaar 23 :
umesema kweli kabisah Allah atunusuru kweli
2026-09-13 07:43:53
106
husnahasan85221481367122
Husna hasani๐ŸŒน :
muache bhn wewe siyo mungu usihukumu mana binadam sote hatujakamilika mkamilifu ni Allaah pekee
2026-09-13 10:06:11
84
mariamngozi38
MANGO :
hukumu sio kazi yako,Muachie Mungu
2026-09-13 08:40:37
8
user7769134074926
user MTU MBADI 0g :
kabisa umesema kweli kaka Allah akulipe kheri
2026-09-13 10:51:06
73
najat_aman
najat_aman :
usihukum kaka allah nd mweny kuhukum
2026-09-13 10:29:03
15
munirah_46
๐Ÿฆ‹Munirah๐Ÿฆ‹๐Ÿ’• :
Jaman wakuhukumu ni mungu tu peke siyo mtu mwengine so hakuna mwema tushi kwa imani tu kila mmoja kwa upande wake
2026-09-13 11:29:28
11
To see more videos from user @fadhilomarydai69, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About