@fastpromedia: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akizungumza Septemba 11, 2026, baada ya Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Masjid Swafaa, Gongoni, Mkoa wa Mjini Magharibi. #tanzania #zanzibar #fpupdates
tagadhari ya wizi wa kura na dhulma ndio hiyo inayokuja hiyo ndio athar ya dhulma,, ujipange Sana lakini Allah anawaina
2026-09-13 07:39:16
5
JANNIHY :
Haya maisha tulipofikia pekeake ni almino
2026-09-13 07:25:00
5
kadirkhamis :
yale mafuriko ya kura hamujayaona
2026-09-13 11:10:25
0
user8127745494751 :
Dunia imebadilika maendeleo mazuri lakini kuna hatari zake mazingira ya hali ya hewa muhimu 🥰🥰🥰🥰
2026-09-13 11:39:35
0
Abuubakar Mohd :
twende wp
2026-09-13 07:08:29
0
Khayriya Salim :
Raisi pendwa. Allah aruhifadhi. ya. Rabb
2026-09-13 12:27:12
0
Da mwaju :
c mshatwambia twende kwa ndugu jamaa na marafk au
2026-09-13 14:09:32
0
goro manii :
boraije maana zulma nyingi Bora ijee 2 tusha chokaa kuonewa
2026-09-13 09:29:39
0
gadafi :
Wanafiki wanavisa
2026-09-13 07:33:41
3
user4571113519830 :
wewe umeona tahadhari ya almino .....tahadhari ya dhulma je
2026-09-13 06:45:02
3
Husna's kitchen :
bora safirini msikae mpaka kipindi cha mvua kimalize
2026-09-13 14:12:22
0
machano :
Olewako uondoke kwenye ulimwengu
huu ikiwa umekula malizawatu kwa dhulma
Olewako uondoke kwenye ulimwengu huu ikiwa umechukuwa heshima zawatu kwa dhulma ukazaniya kama imepitaivo 😭
2026-09-13 09:51:41
2
prosecutormudy :
🥰🥰🥰
2026-09-13 11:07:38
0
Warda Yunus :
😳😳😳
2026-09-13 09:22:10
0
Yaumu Juma :
🙏🙏🙏
2026-09-13 07:27:51
0
Salum Haji :
🇹🇿🙏🙏🙏🙏🙏💯💯💯💯💯
2026-09-13 17:59:11
1
To see more videos from user @fastpromedia, please go to the Tikwm
homepage.