@user4473487999153:

Bollen Ngetti
Bollen Ngetti
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 13 September 2026 08:35:21 GMT
35435
971
108
178

Music

Download

Comments

alexmbwambo908
Alex :
kama ulivurugika rais amepatikana vipi
2026-09-13 11:09:30
8
edwinitematema
Edwini Tematema :
mimi nashangaa sana Rais alishinda kwa 98% sasa uchochezi uko wapi?
2026-09-14 08:07:09
6
khabujing
halla Madrid :
sasa mzee zile asilimia 98% walizitoa wapi kama vituo vilichomwa that means kama uchaguz uliharibiwa matokeo yaliyotangazwa sio ya kweli
2026-09-13 15:37:29
3
juma.mussa325
Juma Mussa :
Lissu ana hatia ya uhaini hivo chadema na wanaharakati wao inabidi wawe wapole wafanye maridhiano na serikali na rais Samia atamsamehe sababu ni mpole, muungwana na mwenye huruma na chadema wanajua hilo lkn wanajitoa fahamu wanadhani kumchafua rais wao watapata mataji wa kisiasa na kua na upper hand kwa watanzania.
2026-09-13 12:02:59
6
user2192916800849
Teacher :
WHERE IS NCHIMBI & POLE POLE?
2026-09-13 13:37:15
2
mwanilezi
Joseph Mwanilez :
Kwahiyo unatuaminisha kuwa wewe unaijua ssheria zaid kuliko wanasheria wengine apa Tanzania?
2026-09-18 19:58:04
0
datusdeodatus
Datus [email protected] :
na je 98% zilitoka wapi wakat uchaguzi ulivurugika
2026-09-16 18:28:22
0
tawb35
safwan :
asilimia 98 ni ya kura zilizopigwa amazo zote zilimchgua yeye baada ya upinzani kususia. sbb kura zote zilikuwa za ccm na vyama vdg ndio hzo asilimia 2 zilizobaki
2026-09-15 17:08:33
2
sadabakir
sada bakir :
haponi kabisa hilo ndilo jibu.
2026-09-18 18:05:28
1
daudi.lutambi3
Daudi Lutambi :
KUNA WATU WANA MAPENZI NA WATU HATA KAMA JAMBO LIPO WAZI WAO UBISHA TU
2026-09-13 10:50:13
1
kabogi.bigarama
Kabogi bigarama :
ndugu yangu upo sahihi tuliowengi hatujui sheria ispokua nimihemko na jaziba za kijibga ndizo zimetawala kwa watu wajinga. nimekuelewa vizuri saana.
2026-09-18 05:31:26
1
mtambaswala
my country :
upo wapi Sasa ivi
2026-09-15 04:22:44
1
user17385834281498
ally :
♥️♥️♥️Mbona unaelekeweka 🙏🙏🙏
2026-09-17 05:42:55
1
rosemollah960
Rose Mollah :
nilikuwa Tyr kukusikiliza lkn woi
2026-09-13 17:30:13
2
user929415372658
Kigis Jordan :
hapa hakuna kitu 😊☺️😂
2026-09-14 10:34:44
1
borahlemmy
Borah Lemmy :
una Akili sana na umetusaidia kuelewa zaidi Asante sana
2026-09-15 06:52:36
2
fyn.gal16
💦fyn gal🥵🙈 :
mimi naunga mkono namuomba rais amsamehe mungu amubatiki
2026-09-13 18:59:16
2
daddydaddy701
over50 :
sasa si angeahirisha uchaguzi, aliwezaje kushinda uchaguzi sasa
2026-09-13 13:30:26
2
enm_tz
we huogopi :
mbona kama umeeegemea upande mmoja balance uchambuzi ndugu yangu
2026-09-13 11:29:00
2
user929415372658
Kigis Jordan :
hapo hakuna kesi ccm walimpa ushindi lisu kwa kujitangaza kushinda kwa %98
2026-09-14 10:32:55
1
alexmbwambo908
Alex :
tuletee taarifa za nchimbi
2026-09-13 11:10:13
1
muddybakari795
R4 :
Unacho kiongea kina mantiki kiasi fulani lakini we unadhani kwanin Shengoma hajakamatwa mana yeye ndio katenda kabisa
2026-09-14 12:34:48
1
jestonestorjestogmail.c4
jestonestory :
taira hukumbuki hizo taarifa hazijaingizwa kama ushaidi mtu amshinda kwakishindo
2026-09-13 18:54:55
1
dady_ronnie
PAPA RORO🇹🇿🐓 :
nakataa maana kwa Mimi sikutika ila sijakutana na clip hata Moja iliyomuonesha muandamanaji ameshika silaha yyt Ile so nakataa asilimia99%
2026-09-19 12:59:31
0
user3213686163361
D :
sijawahi ona kama wanakusikiriza wenyewe ,unasumbuka tu
2026-09-13 09:58:49
0
To see more videos from user @user4473487999153, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About