@youngafricansscofficial: SHA SHA MAN Goal 🆚 Gaborone United⚽️🙌🏽

young africans sports club
young africans sports club
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 13 September 2026 09:41:56 GMT
27184
4657
60
24

Music

Download

Comments

samseth17
Samseth17🎤 :
without Nzengeli Yanga is Normal team,
2026-09-13 12:07:46
0
us25169089.658
Bù lái'ēn :
Nan kaona kwanza pass ya Master Key 😃😃
2026-09-13 12:18:07
0
joshua.steven14
joshua steven14 :
first one
2026-09-13 09:45:11
0
migzerpishoo
migzerpishoo :
Wanao sema yanga bingwa gonga like hapa
2026-09-13 09:49:27
14
fahdrikhan
khan_fa :
wata pleys
2026-09-13 09:45:28
1
jpsamandito
john samandito☠ :
8wananchiiiii
2026-09-13 09:47:13
1
traveller.education
Traveller :
Waambieni Shasha Man na Mwalimu wamalize Ego zao…wote ni wazur… Shasha man kapewa asist … mwenzie kamfuata kushangilia yeye bado anaweka pozi za kibosi…wakumbishwe kuwa mchezaji hawezi izid timu
2026-09-13 10:05:40
2
tembo059
side mnyamwezi :
TOP🙌🫡
2026-09-13 09:45:10
1
dconleedavid
Dalali MZAWA 🫶kibaha pwani🙏 :
2026-09-13 10:38:57
1
shazilnamkoko
zil one tz :
ni swali tu hivi ni kwa nini safari ya mabao mengi ya yanga yanaanzia kwa Max
2026-09-13 11:18:03
1
mr.positive023
Mr Positive🇹🇿🇶🇦 :
goat 🐐
2026-09-13 09:46:24
1
mancity1424
Joel's Jamestown 🔹️ :
jaman sis washabiki tunawaomba sana huyu kocha awe ana fanya substitution za akili maan wengine hapa huwa tunawabetia ile siku mmetuchania mikeka jan tumewaomb goli tatu mpate lakin mmeshindwa
2026-09-13 10:46:12
1
patchuplugg
Lil_patchu :
yanga bingwa🔥🔥🔥
2026-09-13 09:47:52
1
boemuje
CASEMIRO✨👑 :
ila MAX🙌🙌🙌🙌
2026-09-13 13:42:16
0
ssaadyy2026
SSaadyy@2026 :
Allaah Akbar
2026-09-13 12:41:17
0
sqndagacrey
Sqndag Acrey :
Wachezaji wa Yanga, Max Zengeli na Mudathir mnachelewesha pass na mara nyingi mnapokea mpira wakati hamjui pa kupelewa ndiyo maana binafsi mnaonekana wazuri kwa kukaa maeneo sahihi lkn pass sahihi za kwenye nafasi hamtoi na mnachosha forward na kiungo wa juu. Mwalimu fanyia kazi hili kwani pass za chini wanatoa vzr lkn wakifika juu hawana nipe nikupe…pitisha kwenye nafasi. Pili cross nyingi za Yanga hazina macho mara nyingi zinakuwa bora cross si cross bora na sahihi. Wanapenda kuchopu cross hata sehemu hisiyohitaji na cross ya kukandamiza eneo la penalty na box la sita hakuna. Aiseee wachezaji wazuri lkn technical angalieni haya na yakifanyiwa kazi nitarudi na mengine mawili hasa eneo la kubadilishana nafasi uwanjani na mikimbio ya formation ya 4:4:2 na 4:3:3
2026-09-13 14:06:12
0
dconleedavid
Dalali MZAWA 🫶kibaha pwani🙏 :
2026-09-13 10:39:12
1
abedadam48
Abed Adam :
YANGA BINGWA
2026-09-13 11:53:59
0
youngfightertz01
YOUNG FIGHTER TZ :
Nan Mwingne Kagundua hv Azizi ki katoa pass kwa mguu kwa KUSHOTO mwalimu katoa Asist kwa Mguu wa KUSHOTO Alaf sha sha man akafunga kwa mguu wa KUSHOTO😂😂😂
2026-09-13 10:40:21
6
mzunguwakusini1
M@kupul@ champions 🏆 :
master k hapa ilikuwaje
2026-09-13 10:26:42
0
ofao_cosmetics
Ofao cosmetics 💄 :
mbona kama magoli yote mawili yamefanana au nyie mnasemaje[Tears of joy]
2026-09-13 10:51:50
0
madam.happy2
Madam Happy🫰🏼 :
Hili goli lilipikwa kitaalamu saan mpaka kuingia nyavuni 👌 🔥
2026-09-13 10:58:27
0
super..sports
Sports HD :
incredible
2026-09-13 15:37:42
0
dconleedavid
Dalali MZAWA 🫶kibaha pwani🙏 :
2026-09-13 10:38:42
0
To see more videos from user @youngafricansscofficial, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About