@beckham2275:

Beckham
Beckham
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 13 September 2026 11:50:49 GMT
4500
281
52
19

Music

Download

Comments

jeremia.charles
Jeremia Charles :
rushwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
2026-09-13 19:26:55
0
user6828383243350
magololo yusuph elisha :
kweli mweshimiwa uko sawa nakuunga mkono kwahilo
2026-09-13 19:21:32
3
abdukarim4385
abdukarim :
baba umeongea ukweli kabisa
2026-09-13 19:25:21
2
saidi.kabogo
Saidi Kabogo :
kweli kabisa mkuu gari mpya ina pata ajali
2026-09-13 18:42:43
4
rash81725
RASH :
fact
2026-09-13 19:50:30
0
user6845367602282
deogratiusjohn :
kweli umeongey ukweli tunaenda nairobiy sija wahi Kuna ajali kwetu tazania wana weka hamsin mara kwa mara afu polisi wenyewe wasababishwa ajali kwasababu kila mahali kila kilo meta kumi sisi madreva tutaponaje
2026-09-13 19:58:37
0
abdulalmas495
abdul gari ya tano :
kwel
2026-09-13 11:59:47
1
user244639820739
000001 :
Kaka ususani kusini huko sio poa Kaka mungu akulinde
2026-09-13 20:07:44
0
user4486131421634
user4486131421634 :
kingine haohao madereva wanafanyakazi huku wanamawazo maana kilasiku dereva anaonekana kamavile kibaka frani mshahara mdogo pesa ya safari ndogo hakuna mikataba pia hichohicho kidogo serekali inatuwekea mambo makubwa kuliko kipato pia Leo hii wanaanza mambo ya mashalti yakukatwa point kwenye leseni hivi point 15 siukienda safari zako 2 ama tatu leseni imeisha je hii nisawa amawanatarajia hio mizigo ya bandalini wanataka waibebe kinanani maana ukifikisha miezi mitatu ama mitano mnaamini zaidi yamadereva 300 ama zaidi je galingapi zinakua zimesimama maana hapotulipo tu madereva niwashida huko kwenye makampuni maana kwasasa uzalishaji wamadereva hakuna Kuna uzalishaji wa madereva wa bajaji tu maana madereva wamaroli huwezi kumzalisha kwenye chuo kule unazalisha madereva wahali ndogo tu je nahilo zoezi Rao c madereva wataisha ote
2026-09-13 20:03:50
0
victor.pora
Osiman bay :
mheshimiwa umeongea point sana
2026-09-13 19:50:17
0
young.rider2312
young rider2312 :
tawile baba
2026-09-13 19:48:00
0
mkasiwa80s
mkasiwa :
Sasa sijui Huyo mwenyekiti kashauri Gari zikaguliwe na wakati Gari mpya nyingi tu zinapata ajali. Wasijisahaulishe kwamba barabara hazitoshi. Watumiaji wamekua wengi sana.
2026-09-13 19:45:46
0
ditirickkakuru
ditirick mtalemwa :
Ajari ni miundo mibovu na huongozaji wa rushwa pamoja kutozingatia usalama
2026-09-13 19:54:04
0
augustinomathias33
Augustino Mathias :
Asante sana kiongozi wafundishe hapo muda wote wapo officeni hawafiki saiti
2026-09-13 20:02:49
0
user6224029813106
neema mwasomola :
Ajari zingine zinasababishwa na barabara mbovu magari yamekuwa mengi bajaji bodaboda waendao kwamiguu baiskel guts ni shida kubwa walijue hilo
2026-09-13 20:04:18
0
user1316260114428
user1316260114428 :
🙏🙏🙏🙏 Honger unaongea ukwer san
2026-09-13 19:52:13
0
user4380855932104
user4380855932104 :
kwa Nini Kila siku polisi ndio wanashinikiza ukaguzi sababu hi ni mazingira ya kuumiza madereva pia hata hivi vibao vya 50 sasa hivi wanangoa sehemu husika walipoweka tanrod wao wanasogeza mbele yaani barabarani Kuna mambo mengi
2026-09-13 19:41:38
0
husseinhamisi332
husseinhamisi332 :
upo sawa, Moja tu umelisahau, ajali nyingi pia ni madereva kuwa na msongo wa mawazo, mishahara ni midogo na posho ni ndogo, dereva ana huku matatizo yakifamilia huku pesa haitoshelez
2026-09-13 19:37:05
0
user533312551695
user533312551695 :
mungu akupe maisha malefu kaka mkubwa
2026-09-13 19:36:42
0
nhegile
baba paroko :
100%
2026-09-13 20:08:03
0
paulomazengo505
Paulo Mazengo :
kaka wew weeeh hongera sanumeongea ukwer ajali zikitokea hawasemi miundombinu wao wanakata pointi tuu aseeh
2026-09-13 19:39:03
0
rashidiahmadamrisho
chidy boy :
sawa mkuu
2026-09-13 19:39:58
0
sb.jm16
SB JM @official :
nikwer mkuu
2026-09-13 19:39:19
0
user3867255847129
felis [email protected] :
ni kwel kabisa
2026-09-13 17:33:11
1
To see more videos from user @beckham2275, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About