Siku madereva wa TZ mtakapojua kuwa bandari haiwezi kufanya kazi bila dereva ndo cku ambayo maisha yenu yatabadirika kuwa mazuri
2026-09-13 17:22:24
28
erickkinyere :
kwel Father [Pray][Pray]
2026-09-13 19:51:33
0
Kelvin Mlowosa :
hiyo tarehe ambayo tumekubaliana tusiipuzie. dungu zangu tufike hamna lingine
2026-09-13 17:25:19
14
Van dizo tz💪♥️☑️ :
huo ni uonevu tu wa viongozi kutaka nchi hii iwe bize na majambazi,vibaka na watekaji Yani ndo kitu wanakitaka kwasababu mtu unajinyima unaenda kusoma Hadi kuipata lesen nika kiasi Cha sh6050000 na hapo Kuna familia inakutegemea alafu unanikiwa kusoma na kupata chet na lesen alafu Leo hii nakatwa point kwa makosa ya gari gari ni ya dereva au boss?mi nina hukumiwa kwa makosa ya barabaran ususani alama za babaran Kuna makosa ya boss na ya dereva kwann makosa yote apewe dereva?sio sawa kabisa huu ni uonevu
2026-09-13 17:09:59
7
salumu :
kwaheshima sana fatha
2026-09-13 17:16:27
2
canali top :
sawa Sawa
2026-09-13 17:22:05
3
44 2 :
nakubali san blaza pwent hiyo
2026-09-13 17:25:35
6
lumlum :
jamaa ana point nzuri
2026-09-13 16:59:29
4
user6019852522739 :
hapo sawa kbs
2026-09-13 14:41:55
6
rashidimtika912h :
hata ukiongea haisaidii kaka tuwaache wafanye watakavo mwenye mamlaka ya JUU anasikia
2026-09-13 17:29:34
3
kaselenge :
hata ivo jambo la kukata poind halitakuwi likatwe na trafk, hwa matrafk wanafanya hukumu nyingi za uonevu
2026-09-13 17:38:55
2
Erick4rd :
Kama wameshindwa kutumia hekima hakuna kuwaomba wametuzoea sasa kwanini tusiwaonyeshe kama wanatukosea kwa vitendo aaah
2026-09-13 17:21:46
7
Steven Antony :
mtetezi kaka upovizuli tupazesauti sasa madeleva maana tunapoelekea sasa tutawachia waendeshe wao kusoma tumesoma sasa wame anzisha lingine
2026-09-13 17:22:06
3
chumbangenikelvin :
tena wametuzarau sana kwaili sioswala lakulikalia kimya kwaili apana wakakae tena kutunga sheria
2026-09-13 17:41:52
1
JAMES PAPAA :
sasa ivi tuna jifunza ngumi 🥺
2026-09-13 20:02:13
0
Moto Lee :
oya mkuu kwanza izo mambo ya poiti tuzikatae zisiwepo tusha soma kama walivyo twelekeza point tukakae
2026-09-13 19:47:06
0
Hardtaget :
Hekima??????? Wanahekima akina nani? Tangu lini?
2026-09-13 19:44:56
0
Mercedes-Benz Ujerumani :
braza ww unakili nyingi
2026-09-13 17:14:01
3
balabala :
nikweli broo askari wengi wamebebwa na KAZI zao sio ngumu ndomana
2026-09-13 20:05:53
0
prezzy Dar :
hahaha tunaongea tu kufuraishaa baraza tutabuluzwa ad duniaa inaishaaa
Mm naomba niulize;
1)Kosa moja inakatwa point Moja, kwa kosa la ainagani?
2) Imekatwa point 1 au 2 leo baada ya apo nimefanyakaz miez 6 au zaidi bila kutenda kosa tena, je kuna ofa ya kuludishiwa point zilizokatwa?
2026-09-13 20:05:29
0
noelpetroshaur :
kaka kwel barabar kweli mbov san
2026-09-13 19:38:09
0
Erick :
Madereva kwer wanaonewa sana wakafanye nn sasa kila siku dereva tu