@clanson27: Staa wa Bongo Fleva Marioo ametwaa tuzo ya Best Male East Africa kwenye AFRIMMA 2026, iliyofanyika Dallas, Texas, Marekani. Marioo alikuwa akichuana na baadhi ya majina makubwa Afrika Mashariki, lakini mwisho wa siku tuzo imeangukia Tanzania! Hii ni hatua nyingine kubwa kwa Marioo na muziki wa Tanzania kwenye jukwaa la kimataifa. Hongera Marioo! Tanzania tunajivunia! #Marioo #AFRIMMA2026 #BestMaleEastAfrica #Tanzania #ClansonJM

Clanson JM²🧠
Clanson JM²🧠
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 13 September 2026 14:47:01 GMT
1228
61
2
1

Music

Download

Comments

clanson27
Clanson JM²🧠 :
🥺🥺🥺
2026-09-13 14:50:29
0
wilsongidionniwagila
Dogo Niwa Boy💪👲💸 :
😄😁
2026-09-15 12:28:57
0
To see more videos from user @clanson27, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About