@msemakweli_macha: "Kuwa Makini" Makini na nini!? wewe umeelewa nini #msemakweli #animation

Macha Msemakweli
Macha Msemakweli
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 13 September 2026 16:37:43 GMT
43769
844
50
46

Music

Download

Comments

abihudimbekomize4
CUNNWSIT :
ukijua ukweli kimbia acha kufanya wengine kujua mazara yake watakutupa uko uko ulikotakiwa kutoka
2026-09-13 17:25:00
40
user91266383133315
user91266383133315 :
Don't spend your time to change people. Use your time to change yourself.
2026-09-13 18:33:14
0
kennyjohn009
kenny sasa :
you can not save everyone...move on
2026-09-13 17:29:07
0
khadijahsalum
KhadijaIrene :
kwa uelewa wangu anamaanisha kampani uliyonayo ni ya watu wapotevu,umeshtuka ukataka uachane nao wakaja na mbinu zao wakakusukumia kwenye njia ileile uliyotaka kuikwepa(shimo) Kiroho unatakiwa utumie nguvu ya ziada kuwabaini wabaya wako na kutengana nao....Muamini Mungu na usali. Wazo langu
2026-09-13 16:44:38
48
lyonveeo1
🌼 :
You dont have to save everyone ,Some might drag you along the downfall .
2026-09-13 17:14:27
14
clearihb86r
Clear :
Galatia 6:1 " Ndugu zang mtu akighafilika katika kosa lolote, nyinyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa Roho ya upole, UKIJIANGALIA NAFSI YAKO USIJE UKAJARIBIWA NA WEWE MWENYEWE....Kila kosa unalolisahihisha hakikisha haliw mtego kwako ww mwenyewe 🙏🏾
2026-09-13 18:00:43
5
francisaurelian9
Francis :
Kuwa makini na watu unaofuatana nao kwa sababu hata kama wewe una akili na unaona hatari, ukibaki katikati ya watu vipofu au wajinga, watakusukuma kwenye maangamizi yao bila wao kujua
2026-09-13 18:19:51
6
monicapascal78
Mo shwaty♓️ :
Sio kila watu wanaitaji kusaidiwa 📌
2026-09-13 17:27:35
5
mzazi770
MZAZI77🌳 :
wafanye watu waone kwanza kabla ya kuwasaidia,ukiwasaidia kwakua wewe umeona tatizo wao awaja ona wewe ndio utakuwa tatizo kwao
2026-09-13 17:53:58
2
juliana.john48
Mrs Burton 😘 :
Nimeelewa kwamba Kuna mda binadamu aitaji msaada ipo siku watakushusha tu
2026-09-13 17:43:34
3
q.gal464
Dr. Kaole 🥼🩺 :
nakuelewa saaaaaaaaaaaaanaaaa
2026-09-13 17:28:19
2
user5581674497148
yusula♥️♥️ :
malafiki wanaoenda vibaya yaniawapovizuli ukishituka unakuaushapotea kwakua umekujakukumbuka kamanimakosa wakatiusha potea ivoyani
2026-09-13 17:45:30
1
user49030081777280
𝑺𝑪𝑶𝑽𝑰𝑪 :
sio kila wenye mbio au wenye hekima na maharifa ndo watakao fanikiwa.. bali wakat na bahati uwapata wote, kwahiyo ukifanikiwa kujuwa ukweli kweny jambo lolote katika maisha yako usiangalie watu wengne mind your business..nimejaribu tu mkuu kwa uwelewa wangu😁😁
2026-09-13 17:34:28
1
official_zuuh03
zureah :
huruma siyo malezi
2026-09-13 18:38:23
0
carah075
Ms Clare💕 :
ishi km unavyoamini maisha yanataka uishi...don't fall kwasabb tu ya majority 😄
2026-09-13 17:10:09
1
crepprinting1
crep printing :
mafundisho yako yanaingilia biashara za watu🤣🤣🤣
2026-09-13 16:46:48
3
raw.essence6
Raw essence :
Ukibahatika kuokoka kimbia
2026-09-13 17:44:15
1
chubby_586
Chubby🌸🫧 :
HAO UNAOWATAKA KUWASAIDIA AU UNAWASAIDIA BAADHI WANATAKA UISHIE UANGUKE KAMA UNAKIPATO UFIRITHIKE🥺
2026-09-13 16:56:14
8
rajabu.mkude
lajabu Mkude :
msaada wKo unaweza kukupoteza
2026-09-13 17:38:06
0
saraphina.4
Saraphina :
uwe na kikomo cha kusaidia watu
2026-09-13 18:45:43
0
ai_em_mwanah1
ai_ em_mwana..artist//henna// :
pesa haitaki mtu muoga[Tears of joy][Pray]
2026-09-13 17:41:19
0
babymaah3
𝐁𝐚𝐛𝐲 𝐌𝐚𝐚𝐡🥹🙏 :
Fanyeni m like apa nirudi nielewe maana na hii kitu
2026-09-13 19:05:09
0
oscar.mwakanyamal09
Oscar mwakanyamale :
maisha yetu yapo silin sana ungejalibu kuona yanayo enderea kwakwer ungeshangaa sana ila uwez kukwepa kutokana nakwamba mifumo ishatengenezwa tyr
2026-09-13 17:38:48
0
aginesjohnkabibi
aginesjohnkabibi :
kwa sababu unahalibu biashara za watu wakubwa kwenye hii dunia kwa kuelimisha watu kuhusu chakula na madawa
2026-09-13 16:47:20
0
To see more videos from user @msemakweli_macha, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About