@abdul.junior.36: #onthisday

Fabrizio Romano 10
Fabrizio Romano 10
Open In TikTok:
Region: QA
Sunday 13 September 2026 17:55:41 GMT
27952
977
59
207

Music

Download

Comments

royalclassic.1
ROYAL CLASSIC MOMBASA :
Kitu gani hicho bana 😁😁😁
2026-09-14 09:27:40
1
2.059256
Æ2.0 :
jambo zito lakini ndio sheria ya Allah. Sheikh amesema ukweli.
2026-09-14 00:34:28
6
abdulrahmansaid975
ABDULRAHMAN SAID :
ukiona unaruhusiwa kusema kwa shart la kula kuapo kama ilivyo kuja katka surat nuur aya 6/10 fuatilien
2026-09-14 04:25:21
3
abuu.humeyd3
Abuu Humeyd :
Kwa mke na mume haihitaji kua na mashahidi wa Nne, wenyewe kwa wenyewe inafaa kua ni mashahidi kama ilivyokuja kwenye Qur an. But kama ikiwa si Mume au Mke ndio ameshuhudia basi hapo patahitajika mashahidi wa4 waadilifu na wawe wanaume.
2026-09-14 10:42:41
2
khatibabass
KINGDOM :
eh amashekhe hii ni kali sasa
2026-09-14 06:34:42
0
fatmaally291
ALIY ALIY :
shekhe sheria hizo nizazamanii wameenda mpaka gesti lakini akaumwa hakuwahi kufanya jee malipo yake yanakuwajee
2026-09-14 03:15:03
1
jafarihkavura
JAFARI HUSSEIN 🤲💬🤝🙏 :
mashallah. nikiona mie sihitaji mashahid. allah anihifadhi siwezi kuendelea nae maan ninawivu sana namacha2. nisije nikakonda bure kwa mawazo🥰🥰🥰🥰 auzubirah allah anihifadhi amiin🙏🙏🙏🙏🙏
2026-09-14 04:58:26
1
dottomasoudkafara
Khalfan Masoud :
Mm hapo hapo tunamalizana.
2026-09-14 08:01:45
0
death_.r.o.w
عمار سالح 😊 :
Namvuta video ukitoka ukirudi watu washaondoka 😂😂
2026-09-14 04:12:40
1
baalawibaalawi
BAALAWI TOUR ZANZIBAR :
mhhh
2026-09-14 11:08:29
0
saladingaming
️Saladin_Gaming :
na ukichukua video
2026-09-14 10:48:50
0
abdillahiyussuf45
Abdillahi Yussuf :
je ? wewe shekhe kama wewe unalichukuliaje hili
2026-09-14 11:25:40
0
nishati.yango
Nishati Yango :
Sasa unabania had mawaidha ndionn
2026-09-14 12:00:33
0
nasirkey0
Nasir Key :
Masha Allah vizuri sheikh sasa nauliza ikiwa mume ame muona mke wake kwa macho yake ana zini kisha akatafute mashahidi, wale mashahidi waje wamthibitishie nani ? ndio ijulikane ame zini , ni ufahamu hapo ikiwa mtu mwengine ame muona mke wa mtu yuwa zini yeye ndio afaa aje na mashahidi 4? tujibu kwa ufasah Shukran.
2026-09-14 05:22:36
1
mvakuleduniasoule
Mvakule dunia Souleiman :
Allah atuepushe naiyo mitihani
2026-09-13 23:30:25
1
kherymiraji
H tz🇹🇿 :
Najua haiwausu ila jana nilikwenda kwenye harusi ya X wangu ,bahati mbaya nikakanyaga waya mziki ukazima badi X wangu akaropokwa ndivo alivo uyo akiona chakula hatulii sehemu moja🤣😄
2026-09-14 11:39:23
0
user2603727157422
Rashid haji :
wewe unaweza kufany ivyo
2026-09-14 04:24:25
0
katelephone208
katelephone208 :
katika hili Jambo kuna Aya katika quran suratul al nur Aya ya 6 imeeleza kwa uwazi..sio lazima watu wanne.
2026-09-14 11:39:22
0
...t.red
T.red :
hapana bhana nikishaona kwa macho imetoshaa,
2026-09-14 00:16:46
4
ahmed_alamoody
Ahmed_Alamoody :
shekhe musifanye hili Jambo Zito Sana. siku hizi Kuna simu unaeza kuchukua video Na talaka tatu unatowa hapo hapo bila kikao kukaliwa
2026-09-14 08:27:59
0
mashafanyundo
خادم القرآن Mtumishi wa Quran :
Kama nikiwarekodi inakuwaje.?
2026-09-14 11:43:26
0
shabanikhamiss
Shabani Khamiss :
Allah akbar
2026-09-14 09:35:28
0
user13219805602941
sele the boy :
aifai
2026-09-14 12:19:08
0
user1168465825681
🐉 Air Line :
mmh
2026-09-14 05:59:09
0
To see more videos from user @abdul.junior.36, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About