@official_kuhani_atson: Wasemavyo Watumishi wa Mungu kuhusu #zaka #christian #fyp #viral #views

kuhani Mwakalambo
kuhani Mwakalambo
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 14 September 2026 05:40:25 GMT
61095
3898
178
510

Music

Download

Comments

leahkunga
Leah :
in Christ Jesus we dont give tithe , we give willingly
2026-09-14 18:36:25
1
luminoussolarsolutions
Luminous Solar Solutions :
😂😂😂😂 Nawza pata voice note tuongee
2026-09-14 15:14:49
0
user84761576543401
exavery deo :
AMEN🙏 AMEN🙏 AMEN 🙏GLORY TO GOD 🔥🔥👏👏
2026-09-14 14:19:58
0
kiwelu58
kiwelu :
ooh my father tusamehee tunapokukosea.
2026-09-15 17:40:00
0
emmanuel_thomas3
Mwakamele _Mwakimonga :
Mbona mimi natoa kwa uaminifu lakini bado naendelea ku struggle financiaĺly?
2026-09-14 19:30:48
5
joelmartin.14
Joe :
kwa mtazamo wangu nadhani watu wangeelezwa zaka inaenda kufanya kazi gani,,, hii ya kusema ukitoa utapata hiki au usipotoa utapatwa na hiki naona imekaa kimaslahi, mtu anatoa ili afanikiwe, afunguliwe milango, asilaanike, yaani iko kiubinafsi sana, imetafsirika kitorati yani, toa ili upate... ilihali tunaishi kwenye Neema, hakuna unachofanya kitachokufanya kuhesabiwa haki... ila nikijua inaenda kufanya kazi gani basi natoa kwa mapenzi binafsi ya kufanikisha kazi/shughuli husika na sio matarajio au uoga fulani.
2026-09-14 12:58:34
6
joseph.asukenye
Joseph Asukenye :
SHIDA YA KANISA LA SASA NI KWENYE PROPER DOCTRINE USISHANGAE KWANINI KIPINDI HIKI KWANINI NGUVU ZA MUNGU HAZIPO TENA KATIKA NYUMBA ZA IBADA JIBU NI INJILI YA MAPOKEO.AINA HII YA INJILI INATABIA MOJA HAINA UBEROYA NDANI YAKE NI INJILI AMBAYO WATU WANABEBA DOCTRINES ZILIZOSHIKILIWA NA WAZEE WALIOPITA HAIJALISHI KWAMBA INALETA MANTIKI KIMAANDIKO AU HAILETI MANTIKI KIMAANDIKO. KUNA KIPINDI KATIKA HISTORIA YA KANISA ROHO MTAKATIFU ALIONDOKA KABISA KATIKA KANISA KWASABABU YA UDHAIFU WA MAFUNDISHO.HATA SASA KIPINDI KILICHOPO CHA KANISA AMBALO SI MOTO WALA VUGUVUGU KUNA HII TABIA YA KUCHANGANYA INJILI YA KIVULI YAANI TORATI NA INJILI YA NEEMA. KANISA WALA HALISHTUKI HAPO NDIPO SHETANI ALIPO TEGA MTEGO. HATA MAFARISAYO NA WAZEE WA MAKUHANI SIYO KWAMBA WALIMKATAA YESU KWASABABU WALIKUWA HAWAMJUI HAPANA ILA WALIWAZA AINA YA MAFUNDISHO YA HUYU YESU KRISTO TUKIYACHUKUA MAANA YAKE MASLAHI YETU YA KITORATI YATAISHIA HAPO.NDIYO MAANA WALIMUULIZA YESU KWA MAMLAKA YA NANI UNAFANYA HAYA?YESU AKAWAULIZA INJILI YA YOHANA MBATIZAJI ILITOKA WAPI KWA MUNGU AU KWA WANADAMU?AKITAKA KUWABANA KAMA HIVI HAWAELEWI KWAMBA HATA ISAYA ALITABIRI KUHUSIANA NA SAUTI ALIAYE NYIKANI?WAKAUTAMBUA HUO MTEGO WAKAKIMBIA NDIVYO LILIVYO KANISA LA SASA WANAUJUA UKWELI KWAMBA HIZO SADAKA KATIKA AGANO JIPYA HAZIPO ILA KAMA MAFARISAYO HAWAKUBALI WANAISHIA KUCHUKUA MALAKI 3:8-12 KWAMBA ASIYE TOA ZAKA ANALANIWA WAKATI WAGALATIA 3:13 NENO LINASEMA KRISTO ALITUKOMBOA KATIKA LAANA YA TORATI WAO WANASISITIZA USIPO TOA HIZO SADAKA UNALAANIWA INAMAANA HAWANA UTOFAUTI NA MAFARISAYO KATIKA KUTETEA MASLAHI BINAFSI NA WANAIKATAA KAZI YA MSALABA. NA UKIANGALIA KIUNDANI SEHEMU KAZI YA MSALABA INAKATALIWA NI MAENEO YA MASLAHI BINAFSI TU.2WAKORINTHO 9:7 KILA MTU ATENDE KAMA ALIVYOKUSUDIA MOYONI MWAKE,SI KWA HUZUNI,WALA SI KWA LAZIMA,MAANA MUNGU HUMPENDA YEYE ATOAYE KWA MOYO WA UKUVUFU.HATUONI MAHALI POPOTE KATIKA AGANO JIPYA KAMA MITUME WA YESU WAMEONGELEA TENA HIZO AINA ZA SADAKA.SIKU HIZI KUNA SADAKA ZA UKOMBIZI,SADAKA ZA AMANI YAANI KAMA VILE YESU KRISTO HAKUFA MSALABANI. SHETANI KAWAWEZA SANA EITHER KWA KUJUA AU KWA KUTOKUJUA.
2026-09-14 07:38:18
1
mroneman123
constantine :
fungu la kumi langu mayatima ndio watakula lakini si ety nipeleke kanisani
2026-09-14 08:33:06
3
emanuel.njau
Emanuel Njau :
Mungu niwezeshe kuwa mkamilifu
2026-09-14 16:08:01
10
royal_1_priest
Royal Priest :
Poleni sana. Ila jitahidini kutembea ndani ya agano lenu mnaloliamini. Ila msije mkayaleta hayo kwenye agano jilya hili lenye neema na kweli.
2026-09-14 16:32:55
5
delphin.svein.mav
Delphin Svein Mavwali :
NITAOMBA MAN OF GOD ALIYE POST ANIJIBU SWALI HII JE HATA HIYO FUNGO LAKUMI UKIITOWA KWA YATIMA AO WAJANE AO MASKINI JE BODO HAPO UNGALIKI SAHIHI ? WALA INAPASHWA KUTOLEWA KANI SANI TU ?
2026-09-14 15:11:25
2
familykimaro
family :
fungu la kumi linatolewa unapoabudu na n muhimu sana kutoa aisee kama uko na Hofu na Mungu toa tu
2026-09-14 19:06:57
1
user7486740190950
ben :
mbona Mimi niliamua kutoa kabisa bt vitu silianza kwenda opposite basal ya baraka Hadi ikavka time nikipata 700 ninandikiwa dawa ya hio mia Saba imagn
2026-09-14 18:43:03
0
respiciusravenah
Respicius Ravenah :
hivi ghalani kwake mungu ni wapi?? samahan lakn nataka kujua
2026-09-14 12:51:11
3
salvatorymichaelm
salvatorymichaelm :
Mimi naamin fungu la kumi,ila huwa haiajalazimisha upeleke kanisani tu.Unaweza kutoa ukiinenea kwa Mungu kwamba ni fungu la kumi,na ukatoa kwa watoto yatima,wagonjwa ila pia ujenzi wa kanisa lolote sio lazima unalosali,na Mungu akukuandikia umetoa.Usikariri kupeleka kanisani kwako sbb mchungaji anakwambia.HAPANA.
2026-09-14 17:32:03
0
nikoambayeniko_fabrics
nikoambayeniko_fabrics :
Fungu la kumi zaka kuwa mwaminifu mimi nina ushuhuda 🙏 God has done
2026-09-14 20:11:05
2
user1828234821488
gennily :
mimi nimetoka kwe level za fungu la kumi sahiv namtolea Mungu 20% ya mshahara wangu aah alafu nasahaugi kabisa kama nimetolea ila majibu ambay nayapata yanatisha uuuw ni nomaa
2026-09-15 15:17:37
1
advera23
cat@mhagma :
Amena nimepokea sana sita acha kutoa fungu la kumi
2026-09-15 14:03:30
1
user3388313059109
Eli Abraham mmary :
Sasa mtumish nawewe unasemaje
2026-09-14 06:58:52
1
usermisslaizer
misslaizer💕 :
Me kwa kweli nimeanza kutowa fungu la kumi kwa uwaminifu nimemwona mungu sana sijawahi kupungukiwa
2026-09-15 15:06:37
0
neo95103
neo :
MUNGU wetu si maskini anachotaka tuwache dhambi na kumfuata
2026-09-14 14:49:59
1
leahkunga
Leah :
did apostle paul pay tithe, neither did. Jesus give
2026-09-14 18:37:34
1
pbeautysaloon7
pbeautysaloon7 :
Zaka na fungu la kumi ni tofauti
2026-09-14 17:57:34
0
ladiesclothes4
Duka la sweta(ladies_clothes4) :
Mi nimechukua tekniki za matajiri wengi na nimeanza mfumo huo tangu mwaka uanze…naenda sokoni Nachek wale Masai maskin kabisa anauza vitu vyake kwenye sinia nanunua vyote na namwongezea msingi wa biashara yake, Maombi atakayoniombea 🙌🏻 cha pili Nina Kituo cha watoto ambao wanatupwa nanunua maziwa na daipa napeleka basi Mungu anabariki… nasaidia wale wanyonge na ambao hawana chochote!
2026-09-14 12:43:56
3
user7458191142210
madam E :
Mtumishi zaka nikitoa nje ya kanisani kwa mfano nikitoa kuwapa maskini, yatima na wenye uhitaji. je nisipoitoa kanisani itahesabika kuwa nimetoa zaka ?
2026-09-14 11:49:11
0
To see more videos from user @official_kuhani_atson, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About