@veriafya: Prof. Mohamed Janabi ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani kanda ya Afrika anabainisha kuwa Miaka ya hivi karibuni, Chakula imekuwa ni chanzo kikubwa cha Ini kupata mafuta tofauti na miaka ya zamani ambapo pombe ilikuwa sababu kubwa. Kupitia Mahojiano yaliyorushwa na Kituo cha TBC, Februari 21, 2024, Prof. Janabi anafafanua pia baadhi ya njia zinazoweza kutumika kuepukana na hali hii.

Veriafya
Veriafya
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 14 September 2026 06:05:40 GMT
8685
221
3
25

Music

Download

Comments

issa.abdallah17
Issa Abdallah :
Allah akbar Allah atufanyie wepes
2026-09-14 07:28:24
0
samaki86
samaki :
Asante sana
2026-09-14 07:54:24
0
user1493593937091
user1493593937091 :
😳😳😳
2026-09-14 06:56:17
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About