@innocent_raphael: Najua nikifika ofisini, saa tatu tatu hivi kuna supu na chapati mbili zinakuja. Sasa sijui ile formula ya chapati mbili nani alileta… lakini wote wanajua kuna supu na chapati mbili. Unamweka mtu anakusubiria umalize chapati zako.” Kauli ya Makamu wa Rais, Mhe. Deogratius Ndejembi, imeibua hoja kuhusu utamaduni wa mazoea katika utumishi wa umma hasa pale huduma au matumizi fulani yanapoendelea kufanyika kwa sababu tu “ndivyo ilivyozoeleka.” Ujumbe wake ni rahisi lakini una uzito: utumishi wa umma unahitaji nidhamu, uwajibikaji na matumizi yenye sababu, si kila jambo lililozoeleka linapaswa kuendelea.
Kwan Kula kazn n kosa issue unakula wakat gan office yyte kama kuna wateja au wagonjwa Kwa mahspitali kuna colleges mmoja katoka mwengne anahudumia wengne sioni point hapo
2026-09-14 07:52:05
2
paul :
MKUU MKUU MKUU nimekuita mara tatu unaenda kuiwezea hii nchi MUNGU aendelee kukutunza.
2026-09-15 15:49:50
0
ibraah money 💰 🤑 💸 :
sielewi
2026-09-14 13:09:39
0
lagaspal :
kumbe mnanunuliwaga za bure
2026-09-15 08:22:59
0
Fadhili mohamed :
🙏🙏🙏🙏🙏
2026-09-15 16:34:28
0
Adamnice Ngonyani :
upuuzi mtupu,yani ni madudu tuu😡
2026-09-14 09:27:38
3
likedsimba :
ewaaa ww ndoo tulikua tunakutak makamo kam wewe sasa baba em tusaidie madeleva