@mwenye.nchi: Kama makamu wa Rais walimtendea hivi, iweje mimi na wewe wa madongo kuinama? Tanzania haiko salama, Watanzania hatuko salama. kuna kakikundi kanachotuamulia watanzania wote tusikie wanachotaka kusikia, na tuendelee kuishi katika uduwanzi wa kutokumbuka kuwa tuna nchi moja tu ya kuipigania na kwa sasa ipo mikononi mwao wanyang'anyi Amka, shtuka, 29.10.2026 tuikomboe nchi yetu

MWENYENCHI 🇹🇿🇹🇿
MWENYENCHI 🇹🇿🇹🇿
Open In TikTok:
Region: ZA
Monday 14 September 2026 07:43:27 GMT
171760
7852
399
329

Music

Download

Comments

enochris77
Enochris77 :
Jeshi linatukosea sana kaka.
2026-09-14 09:50:56
157
abukhalad123
ابو خلاد :
shida sio samia nyie achene porojo
2026-09-14 10:49:09
20
user2148112726223
Roda Peter mbwate :
asante
2026-09-17 22:04:09
0
happymkm4ee
princess :
huyu mama atatumaliza watanganyika tuamkeni🤨🤨
2026-09-14 08:16:55
30
allymushi653
Bununutv :
Ina bidi tuwamke vijana kulipambania taifaletu
2026-09-14 07:59:00
56
gudluck.timmy0
Gudluck Timmy👣 :
Tatzoo hatuna umojaa hilo ndo tatzo letuu
2026-09-14 20:23:32
11
user4214668377091
jasper tibilengwa :
lakini siku yajaa
2026-09-14 11:41:32
18
mwanamateka
G47 :
#Kwani jieshi la hii nchi liko wapi😳
2026-09-14 12:37:16
15
bplatnumz.01
bplatnumz😷😷🥋 :
Nilale zang mie mamb meng sana sasa hiv
2026-09-14 10:21:45
11
user1925906750282
Ms ney :
yesu shuka mwenyew utetee nchi yetu ya TZ
2026-09-14 12:21:18
5
khaledmhina
khaledmhina :
WAKUFANYA KUZUIA HAYA MAMBO YASITOKEE,WAO NDIO WATENDAJI WAKUU WA HAYA MAMBO
2026-09-14 10:22:08
17
happinessyohana26
Happiness Yohana :
😂😂 deni la taifa limefikia shingapi nijulisheni nmelala huku
2026-09-14 18:51:59
6
jafari.babayu
JAFARI BABAYU :
kumlaum rais mda mwigine tumuonee huruma nahis kunawatu watakuwa wanatumia kivuli cha rais mungu ijalie tz
2026-09-14 14:27:37
14
mariamu.abdul.rah
mariamu abdul rahmaan :
kama nchi hiko salama. wananchi tupo salama acheni uchonganishi
2026-09-15 07:58:41
5
amirimsolo
Amiri Msolo :
tutamuelewa pole pole juu ya kikundi kilichonyuma
2026-09-14 08:09:30
11
2478suji
whatner👔 :
huo wimbo ndo umeniuma sana😥😥
2026-09-14 11:01:19
7
user3561171748055
Mrs❤️❤️💘🌹 :
AU TUHAME NCHI WOOOTE TUONE ATAMUONGOZA NANI 😏😏
2026-09-14 13:53:28
6
ephraimmwidunda85
Ephraim Mwidunda :
Sasa wananchi wanaaza kuichukia serikali, wanasiasa wanaiharibu nchi.!
2026-09-14 11:34:57
7
adamachimwene
Adam Achimwene :
yaani nikimkumbuka pole pole tu nachoka mm
2026-09-14 16:21:57
5
chaliichalii1
Chalii Chalii :
wafuas wa ccm wao wanaonaga wapo salama.
2026-09-14 08:44:20
7
tanomwando
Tano Mwandu :
watanzania hatuna umoja kabisa
2026-09-14 09:39:18
5
user80520936274830
jonte :
leo mchimbia ametutetea sisi ametekwa sisi tumekaa kimya wachungaji wamekaa kimya maasikofu kimya dah ichi ihi
2026-09-14 08:03:58
5
user3611991609265
user3611991609265 :
Kuna kitabu kinaitwa 48 laws of power. Sheria hizi hutumiwa na madikteta ilq naona Serikali ya Samia ndicho anachokitumia kutukandamiza watanzania. Nenda kakisome utanielewa.
2026-09-14 15:15:11
7
bakari.yusufu23
Bakari Yusufu :
HII NCHI INABIDI VIJANA TUJIULIZE NA TUJUWE CHA KUFA TUPELEKESHWE KIDIKTETA WAO KAMA NANI NA ANAEPASWA KUOGOPWA NI MUNGU TU NA SIO MTU AMBAYE AKIJAMBA ANACHAFUA HALI YA HEWA,SASA KAMA NI HIVI TUNAUTOFAUTI GANI NA WAZEE WA ZAMANI HUU UJINGA
2026-09-14 08:42:20
8
drmwakalesrichard
.....@ disciple_RM@..... :
ila nlichokiona Tanganyika kupata uhuru kwa njia ya mazungumzo ya mezan kumetufanya tuwe kama maiti... akili zetu zimezubaa zikisubiri mtu kama nyerere aje atupambanie kwa mazungumzo ili tupate kuokoka...
2026-09-14 15:12:05
6
To see more videos from user @mwenye.nchi, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About