@lausmediatz: Ricardo Momo amefunguka kuhusu sababu ya kutowapost mara kwa mara watoto wake kwenye mitandao ya kijamii, akisema aliwahi kumpost mtoto wake wa kwanza na siku chache baadaye mtoto huyo akavunjika kidole. Ricardo amesema tukio hilo lilimfanya aanze kuwa na hofu ya kuwaweka watoto wake wazi kwenye mitandao, akiamini kuwa huenda wakawa wanakutana na chuki au nguvu hasi kutoka kwa baadhi ya watu

Laus Media TZ
Laus Media TZ
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 14 September 2026 08:47:56 GMT
42665
1253
15
32

Music

Download

Comments

hashab09
Hashab🕋 :
Masha'Allah Alhamdulilah Allah azidi kumbadilisha huyu aiongoze family yake
2026-09-15 07:03:52
5
silsila534
silsila :
ndo inavotakiwaa hongeraa brooh
2026-09-14 14:00:35
13
hadija9687
hadija :
Anaimani kubwa sana
2026-09-15 05:38:08
8
user107622568
Mrs sh@b@ni 🇹🇿🇴🇲 :
Kuna watu maisha yao yapo kwenye mitandao hawajui kma kuna akhera kesho nimependa sana kaka unavyo ishi mashallh🥰❤️
2026-09-15 11:13:37
3
ansilacollection
ANSILA ♍️ :
Mm nilimpost mwanangu akaamka amevimba mdomo 😀
2026-09-14 20:13:55
0
hudaydah3672458539648
kilabi :
kweli kabisa kaka
2026-09-14 13:48:10
3
cutyledy8
cutyledy :
2026-09-14 20:05:54
2
sada.idda
sada idda :
hakikaa
2026-09-14 19:35:46
1
halaliyampenzi1
💯mom twins💯 :
yaaaaa kweli
2026-09-14 16:23:10
1
user14373269007793
ZIADA ,H ; MSABAHA :
maashaallaah 🥰
2026-09-15 08:25:09
0
mariammarimu
mariammarimu :
kweli broo
2026-09-14 17:12:20
1
munawwarasalim
Munawwara Salim :
kwelii kabisa yupo sahihi
2026-09-15 03:05:35
0
user918140753
Ahmed Ahmed :
🥰🥰🥰🥰🥰
2026-09-15 11:33:22
0
To see more videos from user @lausmediatz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About