dah huku kwetu tanga chemba zilivojaa tutanusurika na maradhi kwelii
2026-09-14 14:31:42
1
Fifinaa75 :
mwenyzmungu atuepushe na mvua zeny kuleta madhala
2026-09-14 14:28:57
1
user2979441609361 :
Ile budget Bilion 730 watugawie watanzania Hatuna mapipa makubwa ya Kutunzia Maji hatuna pesa Za kutosha Kuweka Akiba ya Chakula akipewa kila mtanzania M2 ya manunuzi inatutosha tuko million 70
2026-09-14 14:40:54
1
Chris Meshack :
si tunaomba tu umeme usikatike
2026-09-14 12:46:11
1
S💖G :
Mungu wetu anaweza yote,ataepushaa hii El nino na Mungu atajitwalia utukufu na kila moja atakiri jina la Bwana