@mtyama3: Mh John Heche bodo anaendelea na dodoso kutoka wakili wa jamuhuri#Haki ukweri na uwajibikani#🇹🇿🇰🇪🇹🇿

Mtyama
Mtyama
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 14 September 2026 12:47:12 GMT
168508
7015
203
262

Music

Download

Comments

directormjagongo
DIRECTOR MJA GONGO :
maswali hayahusiani na kesi ya Lisu[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-15 04:23:29
18
homeboy6217
homeboy :
kwani hii inahusiana na nini kwenye hii kesi au unataka kututoa kwenye reli
2026-09-14 18:04:48
63
therealsk91
therealsk91 :
Cross Examination 🔥 🔥
2026-09-14 21:46:23
5
joozfy
🦅 :
maswl mengne nanyamaza
2026-09-14 19:43:20
8
djbegge255
steven_begge :
duh...kama movie
2026-09-14 23:07:18
3
john.kajumuro
Johnson Kajumuro :
duhh kumbe maswali haya huwa yanaulizwa hivi sasa kwakupanic kwangu sijui hata kama ntaweza
2026-09-14 20:47:07
26
galax9545
Galaxy :
maswali gani hayo sasa wanauliza
2026-09-14 20:50:04
13
danielshijah
Daniel leshijah :
hii inchi iko na shida sana sasa hii maswali yote ni ya nini viongozi mabeberu 😭😭😭 🇹🇿
2026-09-14 18:47:52
19
09876bgjd
ABDUL :
INAONESHA FIKA MASWALI YAMEANDALIWA NA CCM
2026-09-14 23:52:53
10
bsadick
@VIPOST :
aya maswali yanahusiana nini na kesi kutoka kwenye kesi ya uhain adi kununua jezi ya Arsenal
2026-09-15 05:46:23
14
yusintheboss
Yusin Nifty :
mahakamani mfano ukiwa na kesi na baba yako,anakuuliza unanijua,unamjibu ndio nakujua,anakuuliza unanijuaje,unajibu wewe ni baba yangu anakuambia unajuaje kama mimi ni baba yako,anakuuliza maswali mpaka anaweza kukuuliza nilifanyaje fanyaje mpaka nikawa baba yako!
2026-09-14 21:58:29
16
vikooo821
vikooo :
[Tears of joy]
2026-09-14 20:24:06
2
user5474306988238
Nelson :
Hayo maswali ni ya cross examination...
2026-09-15 06:19:10
5
sophamlenga02
sopha mlenga :
heche kazi anayo
2026-09-14 21:43:50
7
wineshayo515
wineshayo515 :
mahakamani sio vacation APA sielewi hata kidog
2026-09-15 07:10:01
5
ibrahim.rassa
Ibrahim rassa :
bado mtu hata baskel anawachangia watu wenye magari wameshakuwa wabunge
2026-09-14 19:43:32
6
thebestcollection6
thebestcollection6 :
kiukweli mahakamani pasikie tu ndomana watu wanatafuta wanashelia yeye aongei kitu 😂😂
2026-09-15 05:06:15
6
rhobbsonjr
RHOBBYSON JR :
Sasa nyie hamjui baba ake Heche alikua ni tajiri mkubwa sana
2026-09-15 04:32:01
6
musayusuph155
Musa Yusuph :
Kwan heche ndo mshtakiwa au ni Shahid
2026-09-15 03:07:49
6
eliya3756
eliya 👑🤝 :
mbn mm sielewi
2026-09-14 20:53:20
6
yirsinn
yass :
Jamani itabidi muwe mnaenda mahakamani ili mjua watu huwa wanahojiwaje...hii ni kawaida sana, ndo maana unaweza ukakuta case ndogo Ila inaweza kwenda mwaka mzima
2026-09-14 21:51:00
7
redchris16
redchris16 :
kesi hii itaendelea kutufundisha mengi sana na kuona makosa mengi sana yaliyopo kwenye sheria zetu za kimahakama
2026-09-14 21:40:00
7
saan_tz
saantz :
Loo mmmmmmh mwemwe m m m mh
2026-09-14 18:57:47
7
commentsection71
COMMENT SECTION :
hapo ndio utofauti WA mwanasiasa na mwanasheria hapo Heche atulize akili Sana [Innocent][Innocent][Innocent]
2026-09-14 20:20:42
6
jullieth_7
Janelle :
wabunge wote wa ccm wote wanamiriki mari nyingi hasa lakn mtu anamiki vit vyakawaid tu wanamuekea kesi
2026-09-15 21:19:03
0
To see more videos from user @mtyama3, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About