@trtafrikasw: El Nino inaendelea kushika kasi katika Bahari ya Pasifiki na kuwa tukio la hali ya hewa lenye nguvu zaidi, huku Umoja wa Mataifa ukionya kuwa inaweza kuvuruga kwa kiasi kikubwa viwango vya joto na mvua duniani kote. Ikichochewa na hali ya joto isiyo ya kawaida ya maji ya bahari, athari zake kwa hali ya hewa zinaweza kuendelea hadi mwaka wa 2027.
iyo ya dunia ila TZ tuna dunia yetu mtuache.. God anatupenda sanaaa
2026-09-14 13:28:14
134
kim :
May God guide us🥹
2026-09-14 13:11:45
0
SACHA ♎ :
nina laki 3 yangu benki goja niile tu🥺🥺
2026-09-14 16:54:42
33
Asantee :
God is greater😁
2026-09-14 20:10:06
0
cefalexin :
hiyo elnino ikuje Sasa 🥰🥰
2026-09-14 16:45:05
18
Bixx Tech | Gaming Pcs | 🇹🇿 :
“The boy”
2026-09-15 19:12:22
0
Drant love :
Allah atunusuri inshallah🙏🏽🤲🏻🥺
2026-09-15 13:12:05
3
Marco Nicholaus :
afrika nisarama hataiweje
2026-09-14 19:02:54
4
Dr professional k said :
waroongo sana hakunna
2026-09-14 13:23:44
5
lucy :
Mungu alieyeumba mbungu na dunia akatutetee
2026-09-14 19:41:33
8
khadijajuma433 :
Allah Akbar khusnilkhatima Yarabbi
2026-09-15 16:26:12
3
user81747681905001 :
haijii
2026-09-14 15:43:34
1
Eagle Master 🦅 :
Mungu yupo pamoja nasi
2026-09-14 13:25:19
4
Mkwayu :
hakuna Kitu bwana acheni kuleta taharuki Kwa wananchi ✌️🚶🏾
2026-09-14 17:54:00
2
Bint mohammed :
Mm sina iman kbs na hili jambo kwan naamin hakuna kiumbe mwenye uwezo wa kuona mambo yajayo is pouwa Allah peke yake
2026-09-15 09:56:54
2
Dr Ndessa124 :
Mungu tuepushe na haya majanga
2026-09-14 14:55:53
5
Romio alonso omar :
wewe iyache ije tu maana zambi zimizidi sana naomba ije Tanzania
2026-09-14 18:38:44
1
Ricch Magar used TZ :
nlikuja kugundua kua Africa ndo Eden ya zaman
2026-09-15 13:35:33
1
Seeker :
Navuta tafakuri, Hivi milipuko tunayoishuhudia Sasa huko mashariki ya kati Haiwezi kuchagiza badailiko ya hali ya hewa na kupelekea ongeseko au kuipa nguvu vipindi kam hivyo? km vinachangia, Je Dunia inachukua hautua Gani kusimamisha hayo yanayoendelea?
2026-09-15 07:21:26
1
shubi🦋 :
jmn naomba tofautinya el nino na mafuriko😳😳
2026-09-14 15:49:57
1
Aplonia Kamata :
Duh mbona "KASHESHE" MUNGU Akatutangulie na kututetea yeye mwenyewe kwa akili zetu na nguvu zetu hatutaweza
2026-09-15 19:59:41
0
Babyney ❤️ :
Mungu wa Mbinguni akawe nas nakuondoa hofu ndani ye2 tuna Imani na Mungu we2 atatulinda Daima🙏🙏🙏🙏
2026-09-15 21:17:13
0
migambimaan‼️ :
Elon Musk hataweza kuziwia hilo jamani?
2026-09-15 22:56:06
0
To see more videos from user @trtafrikasw, please go to the Tikwm
homepage.