Katk siku umeongea pumba nileo na kukupenda kwangu kote
2026-09-15 07:55:59
5
@ummy ima :
anaekupenda atakuowa na hatoangalia watoto kwani watoto mie wameniganda mie nina watoto na kilasiku natakiwa bado moyo wangu kuamua nani awe mume wangu sina haraka
Mh Yan Nkubali Kuuliwa Kisa Watoto Weeh Shekhe Ww Atatokea Tyuu Atakaenipenda Mm Na Watoto Wangu Uhai Haununuliwi
2026-09-15 05:33:46
3
smy :
watu wanapendwa vizuri na kuolewa hata wakiwa na watoto wao
2026-09-15 03:32:00
1
Mamamii :
Shehe hapo umetukosa mbona tunapendwa sana tu
2026-09-15 08:11:27
1
user9704697281692 :
ata sisi atutak wanaume wenye watoto 😅😅
2026-09-15 03:36:04
3
ZaituniAthuman :
kumbe ndo maana mnatutesa kisa watoto mnajua hatuwezi kuolewa? hapo umedanganya
2026-09-15 07:27:28
1
Dunia sio kitu inatuada tuu :
mim natk Tena ndondoa yangu ya Kwa Wana mahana awo sana
2026-09-15 13:29:44
0
Riziki Massoud :
mm nadai talak 7bab mume ananitelekez kis mke mwengine mwak mzim hanipitii nishachok
2026-09-14 19:47:06
1
user2123924351318 :
subhanallah
2026-09-15 12:28:17
0
manilatran837 :
inshallah
2026-09-15 06:47:51
0
Ada mtoto jr :
kaka hv navichukuaje
2026-09-14 17:15:59
0
hilwabamasry1 :
hata mungu aliwajua km hamtosheki kwa mwanamke mmoja ndio akawaruhusu 4 ili mkawasiri hakusema mkaoe mtoto wala mjane shekhe kuachika inategemea kwa kosa gani hakuna mwanamke anaeta kuachika shekhe
2026-09-15 07:32:57
0
ZaituniAthuman :
na watoto mbawatelekeza wenyewe
2026-09-15 07:28:03
0
ZaituniAthuman :
hapo shekh hatukukuelewa
2026-09-15 07:26:16
0
Asha Mohamed :
kwelii
2026-09-15 06:56:00
0
Joyce Mahundu :
kwakweliii
2026-09-15 12:13:01
0
@ummy ima :
namie mke wa mwanzo nimechoka kwa mambo mengi na nimetaka kuachwa mwenyewe kwa hiari yangu nimemuwachia yeye akae afaidi limbukeni wa ndowa kaachwa kwa mumewe kaja huku kakuta maisha ya watu kafanya lakufanya nimempisha
2026-09-14 23:30:06
0
Shymaa :
Na Mwanaume alieowa Akazaa na akaachana na Mkewe mwenye Watoto km Wote, Nae Wanawake wasikubali kuolewa nao😂😂😂
2026-09-14 23:09:51
1
tuma._delicious :
Hiyo mifupa ni mitamu hamujui tu
2026-09-15 13:57:12
0
biyam51 :
haya mambo yapo tusihukum kama shehe kasema pumba baadh ya watu has vijan wa sas ndio manen yao hay wanasem hawatk USED mungu atupe hifadh na waume wa kher inshaa allah
2026-09-15 09:03:47
0
Mosi :
hukufuru lakini
2026-09-15 11:03:16
0
To see more videos from user @sultan_al_harthy, please go to the Tikwm
homepage.