@simonhelpingfoundation_: Mch Dkt. Seth Sululu akitoa mhadhara kuhusu utaratibu wa kiibada mbele ya wajumbe wa Mkutano wa 6 wa Wachungaji kutoka Dayosisi za Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania hapa katika ukumbi wa Mikutano wa Chimwaga hapa Jijini Dodoma. Leo Septemba 14, 2026 ni siku ya pili ya Mkutano huu ambao unatarajiwa kutamatika Septemba 17.#wachungajikkkt2026 #videoviral #PARADISO_SHUNU #viraltiktok #trendingvideo

SOLI DEO GLORIA 🙌🙏
SOLI DEO GLORIA 🙌🙏
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 14 September 2026 20:00:08 GMT
18897
731
79
141

Music

Download

Comments

user7550393561493
user7550393561493 :
on point!
2026-09-15 15:35:37
0
abby70055
abby :
Nimemuona Mchungaji wa Dayosisi yang anasinzia jamn 😂😂😂
2026-09-15 10:12:08
4
bingo_auto_store_moshi
bingo_auto_store :
Mdo 2:4 SUV [4] Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
2026-09-15 11:22:40
6
marijani.kizigha
Marijani Kizigha :
Nguvu ya uamsho ni kubwa sana haitaweza zuiliwa na dini majira yametimia
2026-09-15 09:08:16
6
manka02028
manka0202 :
Tunatamani kanisa letu ibada iwe na kipengele cha kusifu na kuabudu.
2026-09-15 08:31:10
7
kungwihaogopikojo
Weriweri :
Nakubaliana na maoni haya. Lutheran imepoteza kabisa ule Lutheran halisi, zipo baadhi ya sharika zinaendeleza na zinatembea na misingi ya Lutheran.
2026-09-15 05:16:10
11
adrianshalua1
shalua fx :
kkkt this tyme watu wengi wanahama makanisa because mifumo kama hiyo kwann umzuie Roho Mtakatifu haki mi siwezi tulia lazma niombe kwajir ya mambo yangu
2026-09-15 05:15:07
3
alexashery26
Darlesi :
Waluteli sikilizeni hoja hiyo. kusali kwa pamoja ni kelele tu.
2026-09-15 05:51:10
4
elizabeth.joel36
Elizabeth Joel :
kuomba ni kuomba tu kwani roh mtakatifu alivyoshuka ilikuaje acheni kupotosha watu ikifika saaa ya kuomba kila aombe kwa kinywa chake bana
2026-09-15 08:20:32
3
dr.mlay21
DR.MLAY(VETERINARY 💉🐂🐐) :
afadhali maana tulikuwa tunatoka katika hali ya ULUTHERI na kwenda kwenye taratibu za madhehebu mengine
2026-09-15 16:24:57
1
user5218515061358mulisa
mulisa :
Roho za dini zinazomzuia roho mtakatifu kwan kuomba wote kwani inaharibu nini kwan hayo mandiko mnatoa wapi kwan siku ya pentekosti siwaliomba wote
2026-09-15 08:44:34
2
jimishabhachilu
Jimisha Bhachilu :
fact
2026-09-15 15:13:33
1
lilianlema1
lilianlema881chagoli :
Turudishieni Ulutheri wetu wa Ibada yenye uchaji na utulivu. 🙏🙏🙏
2026-09-15 09:34:45
2
user4834865048111
user4834865048111 :
Mwalimu Wangu Dr sululu Mzee wa kupasha jengo Moto.
2026-09-15 12:15:31
1
aikha7383
Haika Materu 🥰 :
yaaan umesahau n matangazo ibada inakuwa ya matangazo alafu kila siku wimbo n mmoja hata ndim yaan nyimbo z kkkt tunaimba 3 mwaka mzima
2026-09-15 09:40:35
1
ummymeahack
ummymeahack :
wachungaji wafuate litrujia na co kujiwekea ibada binafsi hii ndio ina vuruga , utaratibu wa kanisa.
2026-09-15 10:34:47
1
silas.senkunde
SILAS :
Duu kila mmoja ana haki kwenda mbele za Mungu nitakuaje kiroho nimenyamaza ibada nzima
2026-09-15 10:07:26
1
elizabeth.joel36
Elizabeth Joel :
jmn acheni kutupotosha bana
2026-09-15 08:21:19
3
anduru147
am14578 :
kwenye ibada toka enzi za mitume iligawanyika sehemu mbili ya kuomba na kuombewa Eneo la kuombewa ni mtu mmoja anaombea wengine huku wengine wakiwa kimya ukisema tuombe hata kwenye liturujia kila mtu anaomba iwe sala ya Baba yetu nk kwenye tuombe ni sehemu huria kama liturjia haitumiki ruksa kila mtu kuomba kivyake kuanzia mchungaji hadi washirika kuombea mfano ni pale unamalizia ibada kusema Mungu akubarikie na kukulinda nk pale mtu lazima akae kimya sababu anaombewa
2026-09-15 02:17:20
2
marry.nassary
Marry Nassary :
Mungu atusaidie sana jmn
2026-09-15 17:10:27
0
jm824611
JM :
hizi ni nyakati za uamsho lotutinia haina nguvu zaidi ya Roho wa kanisa
2026-09-15 18:35:00
0
jm824611
JM :
mzee huwezi kumnyamazisha Roho ashukapo. hiki soyo kile. kipind tha aold testament kwa Roho wa Bwana alikaa juu ya makuhani tu.
2026-09-15 18:34:24
1
user2584466381577
Mwinji. Bahati Mgao :
Pole mtumishi,
2026-09-15 17:19:14
0
happy.jackson65
Happy Jackson :
Kelele hadi majirani wanasindwa kusokilozana ndani losa drums na speaker za sauti za juu tuwaombe.wasali.na kuhubiri kwa sauti ya chini
2026-09-15 19:26:38
0
myro_euro_garage
myro :
sijajua kama nakowea ila kunawakat unatamani kuzungumza na Mungu saa unaposema ibada ya pamoja kuna kunyongonyea kwa roho ndani yetu Mungu atupe hekima katika hiro
2026-09-15 19:43:45
0
To see more videos from user @simonhelpingfoundation_, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About