@talkboutitwithconradley: Kwenye ulimwengu unaoweza kuwa kitu chochote, chagua kuwa mwema (be kind). Hamna mtu anastahili kunyanyaswa kwa njia yeyote ile. Katika mchakato wa kukuwa, kila mmoja ana haki ya kukosea na kupatia, sometimes ili upatie utatakiwa kukosea, hivyo tuache unyanyasaji. ..... Sina umiliki wa content iliyotumika. Imetengenezwa na kumilikiwa na @DStvTZ #tiktokeastafrica🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇰🇪🇹🇿 #tiktoktanzania🇹🇿 #talkboutitwithconradley #creatorsearchinsights
katika maisha wote tunakosea na siyo kosa kukosea ila kinachotuumiza wengi ni kukataa kukubali kwamba nilikosea na nilijifunza nini kutokana na yale makosa lkn bila kusahau maisha yanatakiwa kuendelea kwasababu huwezi kurekebisha past ila unaweza kurekebisha leo yako ,kukubali kwamba ulikosea kama binadamu wa kawaida ambae lazima ukosee kunakufanya usijione unahatia maisha yako yote inakufanya uishi kwa amani na pia inakupa nafasi ya kuishi kwa umakini na kubadilisha makosa yako angarau usikosee tena ingawa sisi binadamu huwezi kusema hutokosea unaweza kukosea hata ukiwa 45+ ni hali ya kibinadamu tu hivyo unatakiwa kuchukulia kama funzo na kuishi maisha yako like never before
2026-09-15 05:37:48
45
Nasreen :
Daddy tufungulie tuweze download please 🙏
2026-09-15 05:38:50
15
Alice❤️🩹 :
namimi Niko muhali mbaya kama ya kajala😭😭 mungu atutiye ngufu
2026-09-15 08:50:34
30
Dora Kibale :
ni kweli baba kwa mwenye akili atakuelewa
2026-09-15 04:10:32
13
larosemuvambi :
Afazali mimi nili jitambua mapema asante Mungu 🙏🏻🙏🏻
2026-09-15 05:30:00
8
Tusane :
Very true is a lesson
2026-09-15 08:02:04
1
Mwajux47 :
you're so handsome 👌🏻
2026-09-15 04:09:32
5
Happie❤ :
Nko kwenye situation ya kajala saivi😥😥
2026-09-15 04:54:01
10
Tee💕mathematcs3c :
Kajala anachopasa kufanya nikujisamehe tuu basiii , haibadilishi ila inafanya mtu a heal
2026-09-15 10:33:09
5
⚓️Able seaman⚓️ :
poleni
2026-09-15 05:35:41
0
Mam :
wengi tunapitia uko kama kajala bora hata anamtu wa kumuombea na kufunga ss wengine ni ss wenyewe tu
2026-09-15 06:16:45
8
alillah 👩⚕️ :
jmn wallah huu mwenz wa wa 9 watu wametendwa sanaaa kweny mhusian yao yaan kila mtu analia n mhusian eeeeee wanume shid nn
2026-09-15 11:52:24
6
anchy :
sure sure
2026-09-15 04:30:03
2
user1878067956381 :
mashaallah babaangu
2026-09-15 05:55:25
1
Fatma Kissaga :
tuachie tuwe tuna save BAC 😂😂
2026-09-15 06:03:37
3
neymarta :
fact
2026-09-15 05:33:19
1
Sarah nyiramana :
pole dada angu ninamwazo kinamwisho mungu iko atakusaidia
2026-09-15 12:14:24
1
ashura ally :
sure
2026-09-15 05:29:18
1
Forever young skin care kahama :
Sahihi kabisa🖖🏻
2026-09-15 05:34:29
1
PlayStation Empire Arusha :
2026-09-15 04:52:24
4
To see more videos from user @talkboutitwithconradley, please go to the Tikwm
homepage.