@massoudkhaifan: Mwenzi wa kweli si yule anayekupenda wakati kila kitu kiko sawa, bali ni yule anayebaki na moyo mwema hata pale maisha yanapokuwa magumu. Chagua mtu mwenye utu, heshima na huruma, kwa sababu tabia njema ndiyo huifanya safari ya maisha kuwa yenye amani. 🫂 #mahdankhaifan #foryou #fyp #viral