kwanini hawakamatwi watoa rushwa na wapokea rushwaa
2026-09-16 08:54:29
4
mlwati Jafari juma :
Takukuru mko wapi rushwa inaongezeka huko barabarani mmekaa kimya
2026-09-17 06:43:22
1
Eliya track driver :
hapo umezingua mkuu
2026-09-17 04:31:03
2
Baba faith & mercy💕🥰 :
Video itakugalimu hiiii mm siyo yuda lakini wa nakutafuta 🥺🥺
2026-09-16 11:15:13
2
Prince Pailo :
Hakikisha anaekukosesha kazi unaondok nae kazini labda kosa liwe ni lako dereva ila kama kos ni la gari huwez nikata point mm lazim tuondoke wote kazin nakurecod ukiwa unachukua rushw inakuw bilabila yaan hata kama askar unaisom hyo ww jiandae😁
2026-09-15 17:59:23
6
user4694971199906 :
kwahyo wewe.unamaanisha nn kwa askari?
2026-09-15 14:11:43
1
Bruno Damian743 :
kabisa mazingira ya rushwa yameongezeka ....mana police ndio wamepewa mamlaka ya kutoa pointi na dereva hana cha kumfanya 😭😭😭😭
2026-09-17 10:36:04
0
mendeladmwalongo :
apoo umezingua kaka kwakweli yanii
2026-09-16 18:32:32
1
x-boy ibarra :
kiukweli rushwa lazima itumike kulinda daah
2026-09-15 13:57:21
4
MASTER LEON💥 :
ni kweli lakini 😂😂😂
2026-09-15 15:55:27
0
Brand tz :
Apo unafeli mwanetu
2026-09-15 12:09:26
1
stanleyfocas :
police walafi watajenga kipindi iki
2026-09-15 14:31:47
2
MSUDAN 01 :
Unafeli wapi kaka hii futa kaka
2026-09-15 16:40:28
1
stanleyfocas :
ila izo faini zitapungua sana mimi nataka nitembee na takukuru na mficha nyuma aki walai tutapunguzana
2026-09-15 14:33:04
2
$$ :
nakubali mkuu💥💥
2026-09-17 18:13:34
0
fredrickmesoya :
code
2026-09-17 19:08:55
0
MPENDAKAZI GR :
Mwanangu hapo umeharibu
2026-09-18 15:33:00
0
Ngende :
Ndio ukweli huu kama unabisha ingia road
2026-09-18 11:18:07
0
Coneli Calisti :
hzo hazitoshi
2026-09-18 02:45:57
0
farijalajuma :
nimecheka sana jamn
2026-09-19 07:25:02
0
Allyen🌴🌴 :
2026-09-15 06:57:17
0
To see more videos from user @michaeldanielg, please go to the Tikwm
homepage.