Sitaki kuamin mlio wa ti ti ti tiii ndio ulikuwa unaniamsha saiv alarm kama mziki na siamki[Big LOL][Big LOL][Big LOL][Big LOL][Big LOL]
2026-09-15 18:08:14
0
DIENG :
[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy] Tupo wengi Tupo wengi
2026-09-15 08:46:20
0
DJ RAMSEY TZ :
nilipenda rangi ya taa lake kila mda nilikuwa nawasha
2026-09-15 08:29:17
58
jenyjeny :
weeew sio hizo nizile zenye calculator wwee😳😳
2026-09-15 18:57:21
0
pretty 🦋 girl :
me adi nilikabidhiwa na mkuu wa shule kwasababu ya kuwa time keeper
2026-09-15 08:49:14
69
mysala💕🔐🩷 :
nishaaamaa zamn maana [Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy] nyumbn walikuwa radhi wasipatee mboga ila Mimi nilitakaa hii saaa ya 1500 niiatee hapo nakuwa nalia kila mdaa[Tears of joy][Tears of joy][Red heart]
2026-09-15 10:43:55
1
Miss Marry💕💕 :
Ndy mazeee
2026-09-15 08:23:14
1
💜Nyangi💜💜 :
naile ya calculator[Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-15 17:37:21
0
kizzy :
ukiipiga kofi inasema saa 12:00
2026-09-15 11:56:02
15
agness :
nilinunua primary huwez amin nikapew na ukiranj wa time keeper enz hiz mt akivaa anaonekan wakishua🤣🤣🤣
2026-09-15 10:07:33
34
BRIGHT_NEXT_LEVEL :
Alafu uweke na alarm😂😂😂😂
2026-09-15 18:26:10
8
chady beezey :
🤣🤣🤣 Duuh kitambo sana alaf inawaka waka rang nyingi 🤣🤣🤣🤣
2026-09-15 08:42:45
21
candy evarist :
hahahah ila hizo saa lkn siondoki
2026-09-15 07:44:44
6
Gabriel kimario :
m nlikuwa mpaka nishakuwa fundi wa kuzitengeneza
2026-09-15 17:17:27
7
xule ⚽🏴☠️🤬 :
ilinichukua mwez mmoja kuweka akiba kwaajil ya hiyo saa😂😂😂
2026-09-15 12:17:20
12
lolydls :
nipo darasa la 5 mda wote watu saiz saa ngapi 😂😂
2026-09-15 08:53:43
6
kim nana🤦♀️ :
kipindi hicho unaonekana tajiri kweli shuleni
2026-09-15 08:05:22
11
edina kenani :
naondoka kwa wazazi naamia kanisani nyumbani kwa baba yangu najua haez nifukuza😁😁
2026-09-15 15:52:33
6
San 27,,HD+ :
Shulen kwet Shule ya msingi huwez kuwa time keeper bila kua na huyo saa
2026-09-15 08:01:40
7
Cupcake :
nlinunuaga 1000 mm 2015
2026-09-15 18:57:43
0
Hassan mbwal :
daah enzi io time keeper nilikua nijona nimetobooa🤣