@trtafrikasw: Kabla ya mkutano wa BRICS nchini India, makazi ya watu wenye kipato cha chini kusini mwa Delhi yalifunikwa kwa mabango na vizuizi ili yasionekane kirahisi kwa wageni wanaopita eneo hilo. Lakini swali ni hili: Je, kuficha umasikini kunatatua tatizo, au kunaficha tu hali halisi ya maisha ya watu?
Mungu tusaidie maskini tunadharaulika sana duniani, baada ya kuboresha maisha umaskini ukaondoka sasa wanafichwa, kwanini wasiwauwe
2026-09-15 10:56:30
7
DIRI IJETA :
Wangefanya maendeleo hapo kuliko kuficha Kila siku
2026-09-15 07:08:59
29
Elie Way :
Bado sisi afcon😅
2026-09-15 10:28:01
0
A. A. Mwakaghali :
Ikiwa serikali inaona eneo Hilo linawatia aibu, basi ikiwa wanashirika la nyumba la Taifa walinunue kutoka kwa wamiliki na walijenge vizurii watakavyo wao ili siku zijazo lisiwatie aibu tenaa
2026-09-15 11:51:10
2
muhsin wahida hussein :
😁😁😁😁😁😁 sijui tutafunikwa na Nini
2026-09-15 12:09:52
1
Kipalahi OG :
bro hata bongo imetokea
2026-09-15 13:39:49
0
Riziki Mtui :
Dunia ina kazi sana
2026-09-15 09:48:26
0
محمد إبن رمصان محمد✨ :
Subhanna llah #uwongozi ni dhamana kubwa sana
2026-09-15 10:50:41
0
Official Viny Tz :
hatari sana
2026-09-15 09:05:34
0
@Paul001 :
daah
2026-09-15 08:21:18
0
jr kamote :
nchi nyingi za bricks ndivyo zilivyo halafu utaskia mkuu wetu hana deni
2026-09-15 08:57:08
2
Bianca Evaristo. :
duuh hatari sana
2026-09-15 08:54:42
0
dinhaji_43 :
daa
2026-09-15 08:01:57
0
Kevin Philips Momanyi :
Duuh
2026-09-15 07:37:02
0
Michuki Junior :
That's why I support affordable housing in Kenya👍🏿👍🏿
2026-09-15 09:00:36
3
Tsitsitsi 🧄🍯 :
Bora ao walipona uku ni pyu pyu pyu
2026-09-15 12:52:42
0
💞#DANI_LIFESTYLE💫 :
Nchi masikini zote zina tabia kandamizi... Mfano hata Tz kule tegeta wafanya biashara wanalia na mengi
2026-09-15 10:24:18
0
Gwaki Masetta :
Like India Like Africa [Snicker]
2026-09-15 12:01:09
0
To see more videos from user @trtafrikasw, please go to the Tikwm
homepage.