ata mimi nilikuwa mwanafunzi
lakin sivijui hivyo vitu
2026-09-15 13:13:26
10
HARAWA FURNITURE :
hii katiba tunatak mpya
2026-09-15 11:32:47
10
Godifrey :
Wapo wengi sana nchi hii wenye vipaji,lakini waliotangulia mbele yao wanaogopa kuwashika mkono kwa sababu wanaogopa kufikiwa.Pili watashindwa kula kupitia akili zetu tusichojua.
2026-09-15 11:11:00
8
lovely Lizzy ❤️ :
mm mdogo wangu anakazi ya kushika nyimbo za zuchu
2026-09-15 18:44:26
9
lizzypaul :
Huyu ndo anahaki ya kuomba katiba MPYA Ila siyo sisi bendera fata upepo😁 tunaomba katiba MPYA na hata iliyopo hatujui hata msitar mmoja😂