@dr_daniel_md: ❤️ Dalili 7 ambazo mwili unaweza kukuonyesha kuhusu tatizo la moyo — usizipuuzie! Wakati mwingine mwili unaweza kuonyesha ishara za tatizo la moyo, lakini kwa sababu mtu si mtaalamu wa afya, anaweza kuishi nazo kwa muda mrefu bila kujua kuwa kuna tatizo. Katika video hii nimekuonyesha dalili 7 muhimu zinazoweza kuhusishwa na cardiomyopathy (ugonjwa wa misuli ya moyo), ambazo ni muhimu kuzitambua mapema. ⚠️ Ukiona baadhi ya ishara hizi, usisubiri hali iwe mbaya. Nenda hospitalini kwa ajili ya uchunguzi sahihi. Na mwisho wa video nimeweka jambo muhimu sana la kufanya unapoziona dalili hizi — usilikose. 👉 Tazama video mpaka mwisho, jifunze, na mshirikishe mtu mwingine. Huenda ukamsaidia kugundua tatizo mapema. #Afya #Moyo #Cardiomyopathy #ElimuYaAfya #DrDaniel
wanasemag cardiac mascles never farg/tired na ni elastic kivipi moyo unatanuka?
2026-09-15 15:37:53
1
Mwax C :
Yaaani ukisikiliza hizi content zenu ndo zitanisababishia matatizo Manake kila Dalili ya ugonjwa unayo taja ninayo
2026-09-15 13:09:39
12
Dahawa Ismail :
me nikiwa nawasi wasi uloungana na uwoga namshtuko moyo unadunda uwo atari Hadi kwenye shati
2026-09-15 12:04:27
14
khadijanjuhi :
Asante
2026-09-15 11:11:31
0
momo J :
mmmmh mbn watoto tunayasikia sn hii imekaaje
2026-09-15 11:33:40
5
julyaahChogga :
tulisomaga moyo unatakiwa kudunda mara 72 kwa dakika
2026-09-15 12:58:33
2
Sumaiya Hussein :
ata mm vipimo vilionesha moyo umetanuka ila tatizo lilianzia kwenye uzazi wa mpango
2026-09-15 13:03:26
4
isackmwaimu :
dokta shusha presha kidogo
2026-09-15 17:29:13
1
Moon🌖 :
Mbona sasa dalili zote nnazo?
2026-09-15 12:22:19
0
smy :
izi coment ukisoma unaeza kata tamaa
2026-09-15 15:29:14
1
Rich mani 772 :
sasa doctor hemu samahqni sana niambie mbona mda ninao fanya mazoezi kwenda mbio nikipumzika unakwenda mbio badaa ya hapo unapungua mbona sifi
2026-09-15 17:21:24
0
EMMA 🌀🖌 :
na hizi content zenu ndo zimefanya moyo wangu utanuke maana naona mmetumwa
2026-09-15 16:35:48
2
Hussein :
mm naomba msada wako mm mzazi wangu anayo shida iyoooooo
2026-09-15 10:59:24
0
Globally :
Betting pia inaweza Kua sababu ya moyo kutanuka co Kwa hizi pressure / Stress 💔😂
2026-09-15 16:12:44
3
big dada :
hospital tunaenda kwa wakat sema watoa huduma wa sasa hawamkagui mgonjwa hatua kwa hatua sikuiz ukienda hsptl nikama mshitakiwa 🤣😀ndio sbb za mgonjwa anakuja kugundulika akiwa hatua za mwisho
2026-09-15 16:20:40
3
𝖼𝗁𝗎𝗇𝖺 mkangamm :
Je ni kawaida kama mtu akiwa me toka kukimbia moyo kusunda kwa kasi
2026-09-15 14:04:31
2
Dee light :
based on your information nina wiki mbili tu za kupumua
2026-09-15 11:15:11
3
Young Hustler💪💯 :
Bro fupisha content maneno mengi unachukua mda mwingi kuelezea kitu
2026-09-15 16:49:39
0
To see more videos from user @dr_daniel_md, please go to the Tikwm
homepage.