@fikrachanya_tz: ACHA KUFIKIRI SANA Mwongozo wa kukusaidia kuelewa mzunguko wa overthinking, kutambua kinachochochea mawazo yanayojirudia, kujifunza mbinu za kuyasimamia na kuanza kujenga utulivu wa akili. Ndani yake utapata: SELF-ASSESSMENT — kujitathmini na kutambua maeneo ambayo overthinking yako inaonekana zaidi. MAZOEZI YA VITENDO — kuanza kutumia unachojifunza, si kusoma tu. MPANGO WA SIKU 30 — kujenga hatua ndogo za kila siku za kuanza kubadilisha mfumo wako wa mawazo. Huhitaji kuwa mtu asiye na mawazo. Unahitaji kujifunza kutotawaliwa na mawazo yako. Bei ya kawaida: Tsh 10,000 BEI YA UZINDUZI: TSH 9,000 Ukitaka nakala yako: Tuma “NATAKA KITABU” DM au WhatsApp. 0746078384 . . . . #AchaKufikiriSana #Overthinking #UtulivuWaAkili #AmaniYaNdani #FikraChanya