@creatorman.og.com: Hizi dawa ni aina 9 za dawa ambazo ni hatari sana kwa kumuondoa jini mahaba au jini yeyote anaesumbuwa na kumkosesha amani mwanadam . Namna ya kufanya: kanunue dawa hizi zote katika maduka ya asili au yakisunna kisha zichanganye zote kwa pamoja na uzitwange zote ziwe unga. Baada ya hapo unga huo utaugawa makundi mawili, kundi la kwanza utachanganya kwenye yale mafuta ya fimbo ya mussa. Nakundi lingine utakuwa unaweka kidogo kigogo kwenye maji yako ya kuoga ndani ya siku 14. Hayo mafuta yaliochanganywa hizo dawa utakuwa unapaka mwili mzima usiku tu muda wakula. Na dawa hiyo ya kuoga utakuwa unaoga kutwa mara 2 asubuhi na jioni. Hakikisha unaoga na kupaka mafuta hayo ndani ya siku 14 mfululizo. Kwa hakika jini yeyote hatoweza kuvumilia kukaa mwilini kwasababu dawa hizi ni dawa za kuwaunguza na kuwapa adhabu kali majini mbalimbali.