@pilimndengestan: Waandishi wa Habari endeleeni kula upepo wa mabaharia wa Africa kusini .Bila kufanya hivo hamuuzi tunawaelewa .Endeleeni kuwapa watu lakilaki muwahoji watuchoresheee .Mmeshindwa kuwahoji watu mchanganyiko mmeenda kuhoji watu wenye mapengo tu .Watu hawana content za kufanya south Africa south Africa ipo midomoni mwao .Sie tupo sanaaa hii nchi na tukiamua kurudi home muda wowote tunarudi kwani nyie nani ? #eastafricantiktoks #tiktoktanzania #swahilitiktok #zanzibartiktok #daressalaam @Her name is Pilli 🥰