sasa mntaka wawe vipi[Tears of joy][Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-15 19:33:16
1
Aiem- Noor🦋 :
Siwezi omba mtu pesa kama huwezi kutoa bila kuombwa bs😂😂
2026-09-15 21:20:17
163
Dee 😊 :
Ngoj nipost status itanifikisha 2027 😅😅😅
2026-09-15 21:27:54
0
Teddy❤️ :
HAWEZ KUTOA PESA SABABU MM MWENYE SIEZ MPA MWILI WNG
2026-09-16 04:43:30
26
Angel donko 🥰❤️🎯 :
Moja kwa moja status
2026-09-16 05:17:33
9
Leahmussa :
na sitoka nimuombe mtu pesa😅😅😅😅😅😅
2026-09-15 20:02:36
22
💖 SPA Box🤍 :
Kwan tears of joy ndo imoj za machoz
2026-09-16 03:27:56
0
Lilianne🙈 :
M2 anaombwa January mpk umsmbue Sana anakuja kukupa august ya nn sasa siku hiz 2tatafuta zetu
2026-09-16 04:30:46
12
Lizy grl💞 :
tia elaaaa hahahha hi mpya[Tears of joy][Tears of joy]
2026-09-15 21:03:36
0
Amayla :
Tunatafuta za kwetu siku hizi kwa upande wangu siombi mtu pesa, akijiskia kunipa ni sawa na asipo jiskia kunipa pia nisawa
2026-09-16 04:09:04
10
mamuuuuuh :
awatupi ata tukiomba😂😂😂
2026-09-16 05:10:02
2
dorice :
Kila siku kuna mchongo anaskilizia 😂😂
2026-09-16 04:51:43
4
Ms ngajilo♥️ :
nikiomba mala Moja inatosha
2026-09-16 06:00:54
1
Catherine store🛍️ :
Asa kama unaomba anasem Ana maisha magumu utafanyaj
2026-09-15 20:10:17
7
@juju :
Kma hajiongez kunipa me yanini nmwombee😂😂😂
2026-09-16 03:38:32
2
Regina Genay :
kila siku dua
2026-09-16 05:40:56
1
Ebony🤎 :
Niongee kwa kusimama au kwa kukaa
2026-09-16 06:54:14
2
MRS,me❤️ :
Mimi naye siwezi omba mtoto wa mtu pesa yake kila mtu abebe tu majukumu yake😏
2026-09-15 22:00:16
3
Dayana :
Kwan comment section mnashida gan na hao jamaa zenu mbona huyu wangu ananipea ata tu nkimwambia babe naenda kutembea anauliza una hela namwambia hapna ananambia we chizi kweli sa unaendaje kutembea bila hela 😂😂😂na ananipea
2026-09-16 05:32:54
1
Eliza :
mbona .munatuchanganya sasa twende upande gani😂
2026-09-16 04:48:51
1
zuu chibeby :
jaman hawa nao wanatuchanganya
2026-09-16 05:21:43
2
Chimamaa :
Bwana mwatuchanganya sasa hivi hautaki pesa zenu tukuomba hatuwapendi tusipoomba hatuwapendi
hivi ninyi wandishi kwahiyo mnataka nimpatie pesa nimemuoa au chakwanza hatuwaelewi mala mnasema usimpe mpenzi wako pesa mpaka umuoe tunataka jibu moja tuwape au tusiwape nataka jibu? 😳😳😳
2026-09-15 20:00:58
1
musyoki :
ss nikimuomba ywanambia hana kila saa n ywafanya kaz ,ywalipwa vizur 🤣
2026-09-15 19:30:10
2
To see more videos from user @moradioke88.2fm, please go to the Tikwm
homepage.