@bongoads: #tanzaniatiktok #kenyantiktok🇰🇪

bongoads
bongoads
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 15 September 2026 16:06:37 GMT
26601
1713
226
261

Music

Download

Comments

blessed_favored100
Loved, blessed and favored :
Siku niliamua kujiunga na maisha ya kuwa karibu na jamii, I Lost everything my private life gave me! I learnt with tears! Sio kila Mtu anatakiwa kuwa social butterfly! If private life works for you kindly don’t lose that! People can’t harm what they don’t have access to 🙌🏻
2026-09-15 22:39:16
105
taurus943004
Taurus :
aisee tusipangiane maisha , why should I engage with everyone 🤔??! why just why??! is that because of fear of death??!
2026-09-15 18:14:20
38
moses_kaniel
Moses_kaniel :
Mwanetu umekataa kabisa kukubali kuwa dunia na mambo yake yanabadilika ulivyo ishi wewe wa 70 sio tunavyo ishi sisi vitu vingi vimebadilika mkuu ndo maana hata media baadhi zimeanza kukosa yshawishi na kudidimia kwasababu bado zimekomaa kwenye vitu vya 70 mfano wewe unafungua media then bado una section ya taarifa ya habari saa 8:00 wakati hiyo hanari mimi nimeiona toka saa 10:30 asubuhi hivi gen z yupi anae angalia taarifa ya habari oky sio gen z tu now days hata wa 70 pia wanamilikia social media ambazo ni very powerful bado tv ina kipindi kinaitwa malumbano ya hoja sasa
2026-09-16 05:33:13
17
aura_queen001
Rè :
sio kila mtu lazima aconform katika namna ya maisha ambayo inaonekana accetable kwa wengine. Afterall hakuna formula ya maisha. Kila mtu aishi kwa namna itakayompendeza mwenyewe as long as hadhuru mtu wala kukiuka sheria. Kila mtu ana namna anvyodefine happiness na peace. If it works for you, well and good.
2026-09-16 08:02:57
16
lah_katuju
lah_katuju :
Unawazungumizia Gemini na Group O 😂😂😂
2026-09-15 19:53:10
15
timelessfurniture_tz
TIMELESS FURNITURE & DECOR :
wanasema ni maintrovent mara blood group O na ile nyota gani sijui🤣🤣 km sie hiyo wengine group o hatuna
2026-09-15 16:28:47
14
daxeany28
daxeany28 :
Tumeendelea Tunajiita ma introvert 😅😅 na macancer
2026-09-16 06:02:42
14
mamyy2603
Me & I :
Acha tu huo ugonjwa uniue sitaki mazoea na mtu yeyote yulee👌👌😅
2026-09-16 13:04:36
9
akyoo.grace
Black..G🦋❤ :
Sipendi kusalimia, sipendi kuaga, sipendi kutembelea watu na mimi usinitembelee, sipendi kwenda sherehe labda msibani 😅
2026-09-15 19:34:03
8
user380382359
Therry Kapalicouz :
haya wagonjwa wenzangu ambao hatutaki kupona njooni😂😂😂😂
2026-09-16 08:47:36
6
nebacollection
NEBA COLLECTION :
Huo ugonjwa ninao 🙌
2026-09-15 19:31:56
5
moneyammy
moneyammy :
Sina marafiki Salam natoa ila nikichoka sisalimii misibani naenda kwenye shughuli za mtaani siendi sipendi makelele ya singeli hya private life in kinda way
2026-09-15 18:22:42
4
sunnykay622
Sunny Kay :
jaman kama ni ugonjwa nahitaj matibabu
2026-09-16 09:46:33
4
itsslim96
🦋It’s 🍀slim🦋 :
Mpaka mama angu akiondoka duniani ndo ntaanza kujipambania kwasasa mama yupo anawakilisha familia [Tears of joy]
2026-09-16 02:29:19
4
ml_urembo
🎀momo🎀🪄 :
mimi sio gen z ila huo ugonjwa ninao
2026-09-16 11:58:16
3
lillystore88
Lilly store :
Imefika hii hatupo hata kwenye magroup ya familia , na hatuendagi kwenye misiba tunajifanya tunaishi dar mbali na vijijini kwetu. Yoooh umesema kitu kikubwa kaka
2026-09-15 18:55:18
3
loveaaliyah19
Aaliyah🦋 :
Mimi ndo muanga wa huo ugonjwa🥹siwez yan ata kukaa kalibu wa watu sipendi
2026-09-16 06:00:45
2
ibraahunlimited
Made In Dar es salaam📱 :
Kumbe naumwa na sijui😂
2026-09-15 18:27:31
2
bestwaterpumps
BEST ELECTRIC MOTORCYCLE :
private life
2026-09-15 16:55:08
2
brayanminja
It's B :
Wanaitaa Introvert vibes
2026-09-16 06:24:14
2
To see more videos from user @bongoads, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About