@bishir_1: Mungu amlinde balozi wetu #tanzaniantiktok🇹🇿 #tanzaniaembacyoman🇴🇲 #oman🇴🇲 #oman🇴🇲

Doctor Gulf ✅
Doctor Gulf ✅
Open In TikTok:
Region: CH
Tuesday 15 September 2026 16:27:08 GMT
14120
899
108
91

Music

Download

Comments

nginabaruty
Ngina Baruty :
Ameen in Sha ppppppppppppmmmm
2026-09-16 05:16:56
0
user80719721681922
Scott travic :
think you brother nice mtetezi WA nyonge
2026-09-16 06:34:40
0
user4072481498425
user407248149842 mwajei :
aminaàa Allah muweke
2026-09-16 09:42:56
0
ashura.mussa02
ashura mussa :
Amin Amin Amin Amin Amin
2026-09-16 05:52:15
0
tamkina.ally
🦋𝕋𝔸𝕄𝕂𝕀ℕ𝔸 𝔸𝕃𝕃𝕐💸🦋 :
Hapo kwenye mshahara maajent ndio chanzo.ukitoka tz mshahara unaambiwa ni 120 ukifika oman ajent anasema unajua kiarabu ukisema hapana anakwambia. basi hustahili kulipwa 120 labda ulipwe 110 na wakati kazi nyingi kuliko hata hiyo hela. kwahyo maajent wa oman wabadilike kazi hawafanyi wao. bhna maboss hata tusiwasingizie anaekubaliana na mimi like hapa📌
2026-09-15 17:04:04
22
ukhty.nasra78
Ukhty 💖 :
Vikao vingi lkn cha maana akuna
2026-09-15 17:33:09
19
modredystartz
modredy star🇹🇿 :
jamani ktk kikao chenu tuombeeni ata mkataba usiwe wa miaka miwili uwe mwaka mmoja t maana changamoto ninyingi majumbani ukiangalia na miaka yakurud niming
2026-09-16 09:49:00
1
black.beauty949
cute nino🌷♥️ :
mbn awo maajent tunawapa kesi zetu wanasema wamechoka kweli yn mtu unafany kazi kukulipa mtihan alf ukiongea akuna anaekusikiliza 😳
2026-09-16 02:13:40
3
amorsalmi948
amorsalmi948 :
Ndugu yangu kuna makabila mangapi yanakuja oman.sasa mwananchi yuko huru kuchagua.juzi wamekuja wa ghana 114 kwa kaxi ya macdonal mshahara 100.
2026-09-15 21:32:24
1
yammi1333
YASMIN❤️ :
mashaallah mwenyezimungu azikubali duwa zetu pai azidi kuwapa afya njema hao wanao tupigania sisi wapambanaji
2026-09-16 06:03:10
1
khadijasaidkhadij1
love💕 :
Shukurani sana mungu atukubaliyə maombiyetu🤲
2026-09-15 19:30:32
3
martha68725
🥀 @🌹m🌹 :
Asante kaka angu 🙏🙏🙏
2026-09-16 01:56:51
1
user132071334065
Mimi🤪🤪 :
mbona bado wanalipwa rial80😳😳
2026-09-16 04:26:31
1
mwadinii
Team strong🇹🇿 :
nachoka kila cku vikao wala hazifiki sehem husik ijaza pia hatuiyon
2026-09-15 17:16:08
6
sakina.mussa10
SAKINA MUSSA :
je na wale wasio na mikataba inakuaje kaka
2026-09-15 18:28:59
1
maysalimu
1234mei :
asante.kaka.kwatalifa.nzuli
2026-09-15 18:42:50
1
aminayussuph941
Amina Yussuph :
hivyo vikao vinavyo fanyika na suala la ijaza litiliwe nguvu tunafanya kazi kama mapunda hatuna mapumziko na
2026-09-16 06:54:07
1
itc.chichy
Itc Mona 🇹🇿 🇴🇲 :
tunataka kupumzikz ijumaa na tutoke ata kutembea jmn man akir inakufa siyeeeee🥺
2026-09-15 17:02:36
3
mariarutaramr
M.r.m r.t.r :
2026-09-15 18:00:17
1
baby.official84
baby.official84 :
mi ndoman sinag mda ata kuangalia ivyo vikao vyao nimaliz mkatab niondok zangu mie
2026-09-16 03:54:41
1
meynnahmarembo
MeynnahMarembo :
next year ww ndio balozi wetu inshallah 🙏 ALLAH atakulipa ww kijana
2026-09-15 16:45:41
4
mashajumah750
masha cute😍🌹 :
kila cku ni swala ili tuu yani ila akuna kinachobadilikaa mishahara inaumiza sanaa na kidg kaz nying akuna kupumzikaa[Crying][Crying] inaishia ktk tktok basi ila hawa watu roho zao daah
2026-09-15 17:19:02
2
user1825676315056
Ash baby :
kma maboss wanamikataba yao ya oman sasa wanachukua mikataba yatu ya tanzania wanakaa nayo ili iweje
2026-09-16 05:47:10
1
monira.binti.juma
Munira :
wafanye haraka sasa
2026-09-15 17:33:56
1
lucykabale
l cute 😍 :
shukran sana alhamdulillah🙏
2026-09-15 17:03:45
1
To see more videos from user @bishir_1, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About