@rematv_online: Baada ya Video hiyo pembeni iliyosambaa ya mwigizaji maarufu, Bi Kauye, amejitokeza hadharani kuomba msamaha kwa Watanzania wote kufuatia kusambaa kwa video inayomuonesha akiwa pamoja na kijana mmoja katika mazingira yaliyozua mjadala mkubwa na hisia tofauti kwenye mitandao ya kijamii. Akizungumzia tukio hilo, Bi Kauye amefafanua kuwa kilichotokea hakikuwa na maana kama inavyotafsiriwa na baadhi ya watu, bali kilikuwa ni sehemu ya utani tu wakiwa 'location' wakati wa uandaaji wa kazi ya video. "Naombeni mnisamehe Watanzania wote. Hayo siyo mambo yangu, ilikuwa ni utani tu tukiwa location. Naombeni mfute hiyo video, mimi nina watoto wakubwa. BASATA pamoja na Bodi ya Filamu naombeni mnisamehe. Hayo siyo mambo yangu kabisa, napitia kipindi kigumu mno," alisema Bi Kauye kwa majuto. Bi Kauye amewataka Watanzania kutomuhukumu kwa kile kinachoonekana kwenye video hiyo, huku akisisitiza kuwa mazingira yaliyokuwa yanaendelea yalihusisha utani wa kikazi wakati wa utengenezaji wa video na sio maisha yake halisi.
REMA Media Group
Region: TZ
Tuesday 15 September 2026 16:43:10 GMT
Music
Download
Comments
neyraj :
ukimuomba Mungu inatosha mama
2026-09-15 19:11:09
3
شرميلا🇧🇮🇺🇸📍 :
Kwan video imefanyaj??sielewi
2026-09-15 19:36:29
0
mwnahawa47 :
mi nikajua video ya kutiana kumbe iyo
2026-09-15 21:18:31
0
user4412607283531ummy wawili :
pombe mbaya Aina faida yoyote pole Sana naniabu kwa familia yako
2026-09-15 20:06:24
0
king mahava :
umekuponza
2026-09-15 19:59:43
0
Mishy 😻😻 :
😌
2026-09-15 19:58:38
0
mom sahim :
😁😁😁
2026-09-15 20:23:14
0
To see more videos from user @rematv_online, please go to the Tikwm
homepage.