@mbeya9safari: MABASI YA KWENDA DAR 🚌🔥 NI MWENGI SANA tembelea Tovuti yetu uchague Basi lako pendwa sasa na uweze kukata tiketi yako 👇 https://mbeya9safari.vercel.app/safari (Link ipo BIO/Profile) Au wasiliana nasi kwa namba 0786680260 kwa Msaada Zaidi #mbeya9safari #hainahajayakuangaika 🤝 Sponsored by @SWAHILIFAMILY
dah,!nakumbuka sikupokelewa simu kalbu MWEZI mzima nikalala stendi mwezi,,bila kuwa na Ela yyt,,nakula ukoko tyu😭😭😭,, until mungu alipo badilisha maisha yang dah nmekumbuk mbali sana
2026-09-16 07:30:44
36
Ibrand msami :
kulala ubungo wakati apo ni mbezi magufuri
2026-09-16 06:58:56
10
Gerrald air condition :
wengine wanakuja dar hana mtu wala nini akishafika anaanza kutia uruma akiulizwa vipi ooh ndugu yangu kanizimia simu kumbe hamna cha ndugu wala nini
2026-09-16 09:46:44
7
BARAKA SHIRIMA :
Tatizo mkishafikaga apo simu zinaishaga chaji
2026-09-16 05:26:51
7
musajamini :
ila watu wamwanza muache kukurupuka kuja dar juzkat nilienda mbez kupokea mzigo nikakutana nakijana mmoja katokea mwanza kazimiwa cm na mwenyeji wake
2026-09-16 07:31:22
2
neema❤️ :
Kipnd hicho stand ipo ubungo e simu unapigw haipokelew 😂😂
2026-09-16 08:03:56
4
Alex :
ila ukiwa na Ndugu dar ni miyeyusho
2026-09-16 08:01:45
0
jay matelephone 📱 :
kuna sisi tuliwakuta ndugu wametusubil kabisa apo apo 🥰🥰
2026-09-16 12:07:03
3
ADELPHINE KAGANDA :
ndo siku ya kwanza kulala gest ya horofa shikamoo dar😁😁😁
2026-09-16 06:34:58
3
Giantpoultryfarming :
Hv mjue Mtandao Dar unazinguaga mtu ukija kutoka mkoa wa mbali? yaan ukiwa mbali mawasiliano yanatulia Sana lkn ukifika karbu mawimbi yanakuwa Makali kutokana na msongamano hvyo unaweza ukapiga simu hata miezi SITA unaambiwa hazipatikani au zinatumika tu mpka hyo simu yako izoee mazingira
2026-09-16 06:05:32
1
mr davide :
mm mwenyew walinizimia sm namm nikaamua kuzima yangu nikaamua ela yangu ya kamtaji ikanisaidia gari la usiku.
2026-09-16 09:45:07
3
Nuh💝🩸Mnyiramba :
sio hapo ilikuwa ubungo wewe saiv wanashika ila hawapo dar tena
2026-09-16 06:13:27
3
Darv♥️h_Tz. :
MTANDAO UNASUMBUA SN HAP😂
2026-09-16 10:42:17
1
binti mjwau :
sio kumkumbia ndugu yangu aisee
2026-09-16 15:07:12
0
Isser Ndaller :
nilijiokitea mams ya mkoani saa saba usiku hapo magu temirnal .... mjomba ake hapokei simu 😂😂😂 like nyingi kwangu 😂👍🏻
2026-09-16 13:09:10
2
daisy_🇹🇿🇰🇪♊️ :
ila niseme ukwel kuna mtu anasikia upo dar basi anajipandisha gar bila taarifa akifika ndo anakwambia nimefika njoo unifate🤣🤣 sa jiran analala godawn af alete mwenzie jaman ili akamtangaze kijijin jmn kwao
2026-09-16 08:50:09
1
iddy :
hahahhaha ila kweli😂😂😂😂
2026-09-16 05:27:10
0
Alice💕 :
hapo zinapokelewa simu za dada wa kaz tu kaka😂😂😂
2026-09-16 15:33:24
0
Oscar Oscar jr :
Mimi nilifika kaka kashafika ananisubiri😂😂😂
2026-09-16 12:12:31
0
official afro fans :
me namshukur mungu an braza niliponea chupuchupu sita sahau
2026-09-16 13:45:04
0
Batkar tz mnyama :
kk mjomba arinizimia sm stosahau rkn maripo niapa apa kashafer kasharudi kgm Sasa ivi namshinda asirimi%99 iyo moja nikwajiri ya pumzt
2026-09-16 13:36:56
0
Amnah141 :
mimi😂niliambiwa ukifika stend Kuna mtu atakuja kukuchukua nafika wote hawapokei...inabidi niunge kariakooo😏
2026-09-16 16:11:00
0
Justin stamphord :
jiji la dar lamoto wat wanatelekez wat hap
2026-09-16 12:20:48
0
user8528000913801 :
kwery kbs kiongozi
2026-09-16 05:52:05
0
To see more videos from user @mbeya9safari, please go to the Tikwm
homepage.