@jugo_media: Hiki ndicho nilichoandaa, siku ya leo nakusihi ukipokee, hii ndiyo ahukrani yangu sehemu ya pato langu, litokalo ndani ya mutima wangu, naileta mikononi mwako ambapo ndondo hawataiharibu kwa kutu, naileta mikononi mwaka ambapo mwizi hawezi kuiba, ninaileta mahali salama iwe HAZINA YANGU MBINGUNI. Tamasha la Mavuno Kanisa Kuu 2026.