@mona_uzazi: Wakati wa Mungu ukifika umefika haijalishi ni muda gani. Usikate tamaa endelea kuomba na kuamini kwamba siku moja utaenda kumpakata MTOTO wako mwenyewe na kumshukuru Mungu kwa kukupa uzao wa baraka. #mtoto #maombi #foryou #tanzaniatiktok #kenyantiktok