@kashera264:

Kashera
Kashera
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 16 September 2026 10:26:58 GMT
52715
2586
39
71

Music

Download

Comments

emanueliwildauson
emanueliwildauson :
na hakuna madereva wa hovyo na wavunja sheria kama hao madereva STM na STK na SU na DFP na STL na wengine polisi ndo wavunja sheria wakubw kujidai kila siku wanaharaka
2026-09-16 11:17:23
8
afro37810
Des :
Madereva wa serikali wanafikiria barabara ni kwa ajili yao tu. Hawana nidhamu kabisaaa barabarani na wanajua polisi hawasimamishi magari yao. Wanaweza kukugonga hata kama uko ktk sight yako!! Hawana nidhamu kabisaa hao.
2026-09-16 11:01:29
5
quite.molel
quite molel♥️♥️ :
asilimia 90 hawa madereva wa serikali wanavunja sheria sana hata kwenye mataa hawasimmi
2026-09-16 13:53:53
1
user8821843236798
Dully :
NA NDIO WAKUBWA WANAOVUNJA SHERIA NA HAWACHUKULIWI HATUA
2026-09-16 11:41:49
2
mudymanyweletz
Mudy [email protected] :
Fact point ☝️
2026-09-16 11:49:35
1
xxl.founder
xxl founder :
hapo kwenye balance
2026-09-16 18:11:46
1
sadamissa118
sadam iss1 :
nikwer kabisa
2026-09-16 20:10:38
0
truthtrustbelieve
Tanzania Org 🇹🇿, (Funguka) :
Mbele ya mda
2026-09-16 18:45:43
0
elisha.magesa
ᴇʟɪᴤʜᴀ ᴛʀᴀᴠᴇʟʟᴇʀ 🚘 :
sahihi kabisa 📌
2026-09-16 10:48:11
1
patrick.paschal73
Patrick Paschal :
👏👏mitano tena
2026-09-16 13:37:37
0
francisgasper678
Francis Gasper :
wengi wao humo hawaendeshi ya stm... wanaendesha yasio julikana
2026-09-16 18:39:46
0
philipsikoi
Philipsikoi :
wako raf sana hao ukuu rod
2026-09-16 16:14:26
0
alfredaugustino25
kitale :
ivi madereva wa serikali na wao wanakatwa point maan ndo wanaongoza kwakuvunja sheria kisa kumuwaisha kiongozi
2026-09-16 17:46:46
0
abdullah.yussuf0
Abdullah Yussuf :
Da madereva wa serikali wanaongoza kuvunja sheria naisi cemina km hizi zitawakumbusha juu ya kuzingatia usalama barabarani
2026-09-16 15:58:59
0
nassoroshan
ibun khamis :
kweli madereva wa serikali wanaharibu hata heshima ya sheria za barabara zetu
2026-09-16 12:28:31
0
mudymanyweletz
Mudy [email protected] :
Barabarani panahitaji nidhamu sn kwawatumiaji wote wa barabara cz ukisababisha madhara atakae letewa shida ni wewe sio Kiongozi lkn wakati mwingine wanasababisha ajali sn cz anajua asipomsikiliza kiongozi kazi hana pia
2026-09-16 11:53:09
0
dr.steve.official
Official Steve :
Hao ndio wavurugaji wakubwa barabarani.
2026-09-16 11:51:30
3
user8821843236798
Dully :
WAO WANATAKIWA WAWE MFANO KWA RAIA
2026-09-16 11:42:23
1
nyantundu
𝐢𝐧𝐜𝐡𝐀𝐫𝐠𝐞 :
Mwenye bomba hakai foleni.
2026-09-16 16:07:37
0
mo.smile98
Mo smile :
siku ukiendesha gari za serikali ndo uta juu kwann wana kuwa hivyo
2026-09-16 13:00:36
0
meddy67701
Meddy ban🦅 :
Kwan wa mabus huoni
2026-09-16 13:52:20
0
jeishaban23
Rada safi :
Halafu ame mlanda marehemu Mweshimiwa Magufuli
2026-09-16 13:15:08
0
amanexo5
Amanexo :
Hivi hawa wanao endesha STM ,STL, STK,SU kumbe hawa nao ni wanapaswa kufata sheria ,maana mda wote tunashihudia uvunjifu tu wa sheria ,sehemu 50 limit anapita na 150 speed ,overtake milimani ,hivi kweli hawa ni watu wa Mungu ..
2026-09-16 12:31:38
0
magulunnyundo
Magulu Nnyondo :
kazi zakupeana izo na ndio wanaongoza kuongea bungengeni about dereva ..
2026-09-16 12:39:04
0
shoes_by_stan
Eskey13 :
Hao ndo wapewe point ila sisi raia mtuache tumalizane huku
2026-09-16 11:46:45
0
To see more videos from user @kashera264, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About