@kilimoapp: PART 1 Malisho yageuka kuwa dhahabu ya kijani sokoni, hii ni fursa ambayo muitikio wake bado ni mdogo. jisajili sasa na kilimoApp bonyeza link kwenye bio sasahivi. #kilimoApp
Tatizo ni kwamba maeneo yenye uhitaji mkubwa ndio yenye ukame mkali kwahiyo uzalishaji wa majani ni ngumu sana, pia ukizalisha kwenye maeneo yenye maji lazima ulipie usafiri ambao ni ghali pia.
2026-09-17 05:13:35
0
joe :
Tusaidie mawasiliani ya huyu mtaalam tafadhali.
2026-09-17 03:28:49
0
flynnryder2794 :
naomba mawasiliano ya huyu jamaa
2026-09-17 01:35:12
0
jayliiy :
nimeshaanza na nipier grass ekari 3
2026-09-16 21:33:14
0
mpokid.bukukuz :
🔥
2026-09-17 03:12:32
0
To see more videos from user @kilimoapp, please go to the Tikwm
homepage.