@millardayo_: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali kupitia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) itaanza kuchukua hatua za kuwasajili na kuwatambua Watoto walio chini ya umri wa miaka 18, ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mfumo wa utambulisho wa Taifa. Dkt. Mwigulu amesema hatua hiyo itamuwezesha kila Mtanzania kutambulika kuanzia hatua za mwanzo za maisha yake pamoja na kuondoa pengo lililokuwepo katika mfumo wa utambulisho kati ya Mtoto anapozaliwa na anapofikisha umri wa miaka 18. Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo, Septemba 16, 2026 wakati akiwa Mgeni Rasmi katika maadhimisho ya Siku ya Utambulisho Duniani, yaliyofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es salaam. “Mfumo huu utasaidia kupunguza usumbufu wa kutumia nyaraka au vitambulisho vingi wakati wa kupata huduma mbalimbali, kwa kuwa taarifa muhimu za Mwananchi zitaendelea kutambulika na kuhifadhiwa katika mfumo mkuu wa Taifa wa utambuzi” amesema. #MillardAyoUPDATES
millardayo
Region: TZ
Wednesday 16 September 2026 16:35:54 GMT
Music
Download
Comments
watsaap_memes🤫🤫 :
kwani nida ndo nini
2026-09-16 18:20:56
18
Hellen Kimei :
Tuna taman ila sasa office za uhamiaj wana turudisha yaan proses n nying
2026-09-16 17:54:09
29
MOHAN :
TANZANIA IS BETTER THAN EVERYTHING 🥰🥰🥰
2026-09-16 17:06:17
0
Black gal🌚 :
Nauza bonnet nipo Zanzibar karibun vipenz☺️😊
2026-09-16 16:41:42
15
MRAMBWANI :
wanataka.kuzochota hizo.hela.tuuu[Big LOL][Big LOL][Big LOL][Big LOL]
2026-09-16 17:09:31
0
N3r💫 n🦋 :
Shikamoo NIDA Sina hamu jamni na NIDA kwa jinsi nilivo pokelewa Leo🤣😂😂😂😂😂
2026-09-16 18:50:01
2
coolbee👑 :
Ili mjee kuibia kuraa 2030
2026-09-16 17:13:28
7
Miss Mungure 💖🔥 :
tunatamani vitambulisho vetu sn lkn wanaturudishia getini eti nenda utaitwa jmn jmn
2026-09-16 17:08:07
9
@heron :
asee kwenye ofisi zao sasa aah wanajisikia sana kutoa huduma
2026-09-16 17:41:52
5
@isha :
Sasa kwa mfano me npo dar NIDA niliandisha bukoba tapata wapi kitambulisho na kule nilihama
2026-09-16 19:39:37
0
NGYEKYE👀ICON🙌ViPAJI💫💫 :
mm sina chkchote mzee kafalik mama ana nida namba 2 mpaka sielew napataje
2026-09-16 16:53:48
0
neema B❤ :
me bad sijakua na sjitabui 😏😂😂
2026-09-16 20:45:01
0
spe gyal🦋🔒 :
wanaofany kazi nida wana2katisha tamaa tok 2025 mpak leo
2026-09-16 20:19:31
0
N!CHO🙌 :
toka mwezi wa 11 mpk leo sijapata taarifa kam kitambulish kimetok
2026-09-16 17:59:17
2
miness :
mbona ss tuna miaka mingi kadi wanatwambia Amna hazijatoka
2026-09-16 20:34:48
0
it's Grace 🫂💕🫀 :
wegina tunashajiadikisha nida namba tukapata ila kitambulisho bado 😳😳
2026-09-16 16:44:39
1
DaniLeo 0790948978 :
mkuu. tukienda tunaambiwa aditutumiwe message sasa
2026-09-16 21:10:23
0
My Mother 👩 and me call ☎️🇹✔ :
kusema ukweli nida ya tanzania bado iyo ya kawe upande wa kupiga picha vifaa au izo camera ni chache na sio nzuri kwa kweli
2026-09-16 18:30:29
1
NovaKhan :
Kitamburisho changu niyunzie bado niko kwa MANDERA
2026-09-16 18:39:19
0
NovaKhan :
Kitamburisho changu nitunzie bado niko kwa MANDERA
2026-09-16 18:40:05
0
V classic :
asa nida prosesi ndefu adi basi
2026-09-16 22:38:44
0
jofreygazem :
wanatuzungusha sana wanataka kwanza pesa
2026-09-16 19:07:44
0
JOHNI J MHAPA :
mzeee uko safi sana
2026-09-16 19:47:46
0
abdu@26 :
nimetafuta nida tangia 2024 mpaka hivi sasa kila nikienda naambiwa bado hakijatoka bora mubaki nacho kitawasaidia pengine mm sijitena chukueni mkutumie kwenu
2026-09-16 19:35:43
0
dadiiiiiiiiyyyyy :
ni jambo jema sana
2026-09-16 16:39:34
0
To see more videos from user @millardayo_, please go to the Tikwm
homepage.